Recent content by Native diaspora

  1. Native diaspora

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mungu awabless nanyi mpate pia kiongozi[emoji1666]
  2. Native diaspora

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Miwa mkuu nimeiacha rangi 3 mbagala lakini elimu yake ipo nami [emoji3]
  3. Native diaspora

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mwanangu Marabiosh Mungu atawagusa na mwanangu Utawala Mungu ni mwema, nilifanikiwa kulamba mkuu ni neema tu
  4. Native diaspora

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Chief MWIFA umetupiga tafu sana vijana kwenye nyakati ngumu za kutaka kukata tamaa. Nakubali mkuu
  5. Native diaspora

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Dah namimi kijana wa Rangitatu leo baada ya kutoka kuuza mtumba narudi gheto napumzika navuta pumzi ndefu, nakuta Mungu amenibless nimelamba ASALI. DAH struggle hii haikua rahisi lakini Mungu mwema. Nawaombea wote Mungu awatendendee DATABASE IS REAL na written nilitoboa kwa mbinde marks 53...
  6. Native diaspora

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    KWA MLIOLAMBA ASALI MUNGU AWATANGULIE MAJUKUMUNI KWENU
  7. Native diaspora

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    NAAM INAPENDEZA SANA SHUHUDA ZINAPOKUWA NYINGI NAMNA HII INATIA MOYO, MUNGU ATUGUSE NASI TULAMBE ASALI. AMIIN
Back
Top Bottom