Sio kila kitu kipo kwenye katiba
Licha ya ukubwa wake, bunge linaongozwa kwa kanuni ambazo hazipo kwenye katiba.
Ndio mana nimesema hapo juu kuwa kwenye nyanja ya diplomansia, kuna mambo tumekubaliana nayo kama sehemu ya itifaki.
Ila hazipo kwenye katiba.
Nadhani kiuungwana kabisa,
Prof. Aachie ngazi
Alitoa ushauri wa kitaalamu kabisa, ila kuna watu hawajamwelewa
Kuomba radhi ni kuyakana matamshi na maandishi yake.
Ili asimamie msimamo wake sio kosa akiachana na uVC
Tangia 2016 wizara ya Tamisemi ilihamishwa kutoka ofisi ya waziri Mkuu na kupelekwa Ofisi ya Rais
Waziri Mkuu alibaki na Uratibu,bunge na sera pamoja na uwekezaji ambao nao umehamishiwa Ofisi ya Rais
Hayo matumizi ya V8-X kwa wakurugenzi sidhani kama PM anahusika
Ndo mana wakati wa uapishwaji...
Mbona unachanganya concept mbili ambazo ni tofauti
Ngazi ya juu ya uongozi Tanzania ni Urais wa JMT
Ngazi ya juu ya Chama cha mapinduzi ni mwenyekiti Taifa
Ukimtambulisha kwa nafasi ya urais lazima utaitaja ya JMT na kama chama ni mwenyekiti wa Chama taifa.
Kaka unataka kutengeneza sheria mbele ya mzee
Mzee kajenga, katafuta mali ndo mana anaweka utaratibu anaoutaka.
Maana yake ni kwamba kama hukubaliani na utaratibu simple and Clear ondoka.
Mzee yupo sahihi kabisa, kama unataka kuwa na kiburi kama cha baba yako tafuta vyako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.