Habarini wanajukwaa
Mtu mzima mwanaume mwenye makamo ya miaka 50+ anahitaji msichana umri 21-27 kwa mahusiano ya kudumu.
Vigezo vya muhimu uwe Dar es Salaam, elimu ya kidato cha 4 kushuka chini. Uwe mkristo, usiwe na mtoto au kama unaye 1 ni sawa, usiwe unakunywa pombe, usiwe bonge (umbo...