Kwakweli inaumiza sana sana... [emoji27] [emoji27] [emoji27] jamani ukikuta text usioielewa tu kwenye simu ya mumeo ni shida sasa anakuaga kabisaaa na unajua anaenda kulala kwa mke mwingine jamani inauma asikwambie mtu.....
Habari zenu...
Jamani ama kweli nimeamini wanandoa hasa kwa ndoa za siku hizi kama ikatokea umetoka kwenye hiyo ndoa aisee kurudi tena itakuwa kazi kweli...
Hivi kweli mume wako kam follow ex girlfriend wake Instagram na anakwambia kabisa huwa nachat nae tunabadilishana mawazo...
Hivi hii...
Habar zenu wana Jamii Forums.
Mimi ni mgeni humu ila nimeona niingie humu kwa kupata ushauri zaidi,ni miaka miwili tangu nimeolewa na nashukuru Mungu ninaishi vizuri na mume wangu na pia Mungu katujalia tumepata mtoto mmoja na pia kwa sasa nina ujauzito.
Tatizo langu kubwa ni kwa huyu mume...
Nyumba Inauzwa ipo Pugu Kichangani mita 800 toka bara bara kuu ya Nyerere .Ukifika Kajiungeni njia panda ya Kisarawe na Chanika toka hapo ni mita 800 upande wa kulia.BEI NI 65 Milioni maelewano yapo. Ukihitaji kwenda kuiona tuwasiliane anytime. Kwa mawasiliano zaidi 0687702626 (Kwa picha zaidi...
ni msichana mwenye umri wa miaka 24,ana takribani miaka kama mitatu hivi,hajawahi kusikia raha anapokutanana na mwenziwe faragha,kwa kifupi haijui raha ya mapenzi ikoje,je hali hii inaweza kusababiswa na nini???????????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.