Pia dangote akiondoka watanzania watakosa ajila. Ndani ya uwekezaji wake kuna baadhi ya watanzani a wengi waliajiliwa kufanya kazi kwenye hivyo viwanda. Je ni bora watanzania ambayo hawana ajila wazidi kutapakaa nchini au mwekezaji aendelee kukaa nchini?
Simu ni. SamsungGT19082
version 4.2.2
storage 8.00GB
haina tatizo lolote
Lakin nyumu mfuniko hamna ulipote ila simu iko vizuri. Kwa contact nichek 0673265113
Bei laki 280 punguzo mpaka 250 napatikana mbez beach kwa komba
Ni statement inazoelimisha like life, knowledge,success,love,good,. Kinapatikana kwa bei nafuu elfu kumi tu kimoja. Kwa mawasiliano tupigie. 0717420309,0673265113
Ina vyumba vitatu ndani na sehemu ya wageni. Chumba cha master kina choo ndani. Ina banda la uani pia lina vyoo viwili, uani pia jiko na store. Nyumba imezingusha uzio bei ni mil 80. Mwisho
Kiwanja kinauzwa maeneo ya chalinze ambayo ukubwa wake ni heka nane(8) na lipo barabarani karibu na rami kila plot moja ambayo ni sawa na heka mbili na nusu ni milion miatano mwisho ni mil mia nn na hamsini. Lipo chalinze kalibu na barabara ya morogork road
Nyumba inauzwa maeneo ya magomeni kagera.ina vyumba sita,choo na bafuu vya ndani kwa ndani. Pia inauzio mkubwa wa ukuta na ina geti. ila gari haliwezi kufika ndani huwa lakini unaweza kupaki nyumba ya pili. Nyumba kubwa na nzuri pia inasehemu ya kulia chakula na sehemu ya kupumzikia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.