Ni ukweli usiopingika swala la udini limepaliliwa na viongozi wa ccm inabidi wananchi tuwe makini kwani hatuna mtetezi ccm na serikali yake hakuna kitu
Siasa ni mchezo ambao kila mtu anaupenda hasa wale wakereketwa wa siasa hata mimi pia nimkereketwa wa siasa lakini kunajamba ambalo nimeliona katika siasa ya Tanzania kwa hili lazima niwe wazi kuwaeleza wanasiasa wa kitanzania hasa chama tawala. kwanza nakipongeza Chama cha Demokrasia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.