HATA KWENYE KUANDAA MAANDAMANO HAYA KUNA MPASUKO MKUBWA KWA SABABAU LISSU ANAWACHONGANISHA WANANCHI NA DOLA HUKU AKIJUA FAMILIA YAKE AMEIPELEKA NJE YA NCHI KWA HIYO WTAKAO UWAWA NA KUUMIA NI WANANCHI AMBAO HAWNA UWEZO WA KUWAPELEKA WATOTO WAO MAREKANI. TAZAMA VIDEO CHINI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amezitaka wizara na taasisi za serikali kuendelea kutekeleza maagizo ya serikali ikiwemo kutumia lugha ya kiswahili katika mikutano na semina.
Ameyasema hayo Leo wakati wa ufunguzi wa kongamano la sita la la kiswahili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.