Recent content by Nasru Juma

  1. Nasru Juma

    Building permit

    Wakuu, mwenye GN. No.12 of 2004 anisaidie tafadhali. Naambiwa ndio yenye kuRegulate building permit Arusha City Council. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Nasru Juma

    Jinsi Katiba inavyoiumbua CHADEMA

    Ha ha haaaaaaa,,, wewe ndie ulieumbuka, kwa naejua Sheria, Ibara hiyo ni katika kesi nyingi sana Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa kimeshindwa kusimama kama "Derogation Clause" kwenye Haki za Msingi" Serikali imekua ikikitafsiri tofauti na kujaribu kuminya Haki za Msingi kwa Kisingizio hicho...
  3. Nasru Juma

    SGR ndiyo project ya kwanza Black Kenya!

    Alietangulia katangulia tu,, acha kutupa maneno ya kujipa moyo, Tupo nyuma kupita kiasi,,,, huwezi kulinganisha na Kenya... Labda tunachowazidi ni rasilimali na amani tu
  4. Nasru Juma

    Anna Mghwira: CHADEMA wanaona wivu Rais Magufuli kushughulikia walichosimamia wao

    Kuongea vizuri, lakini mi najiulisa haya mawili.... 1.Wapinzani huwa hawaitwi TBC, hivyo kapelekwa na nani? , 2.Kama nchi imempata mtu bora kuliko wote, yeye ya aligombea kutulaghai waTanzania eeh!?? ... Asubiri 2020 kama hajaambulia kura 09 nchi nzima,,, MNAFIKI
  5. Nasru Juma

    Maneno aliyonambia brigedia mstaafu juu ya usalama wa nchi na UKUTA

    Si kweli, mtu aliekua Mkuu wa Brigedi ni mtu mkubwa sana katika Jeshi na Usalama kwa ujumla,hawezi kukosa taarifa
Back
Top Bottom