Recent content by NASIRIYA

  1. NASIRIYA

    Bei za mafuta zashuka Zanzibar, petroli sasa 2,910 na dizeli 3,168

    Dkt. Hussein Ali Mwinyi achukuwa maamuzi magumu kwa kuamua kushusha bei ya mafuta Zanzibar Kwa lengo kuwapunguzia maisha magumu wananchi wazanzibar.
  2. NASIRIYA

    Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya wapya 37, awahamisha 48, waliobaki kwenye vituo vyao ni 55

    Rais DKT SAMIA SULUHU HASSANI amemteua VICTORIA CHARLES MWANZIVA kuwa mkuu wa wilaya ya Ludewa. Hongera MWANZIVA kwa kuaminika na mama.
  3. NASIRIYA

    Marufuku Mtanzania kujiunga Jeshi la nchi nyingine

    Tax apiga marufuku kwa watazania kujiunga na la Jeshi la nchi nyengine. Alisema kwa mujibu wa sheria zao Mtanzania yoyote haruhusiwi kujiunga na Jeshi la nchi yoyote isipokuwa Jeshi la Tanzaia tu na kufanya hivyo kuvunja sheria za nchi. --- SERIKALI: ‘Fuateni sheria na taratibu mkiwa nje ya...
  4. NASIRIYA

    Hongera Rais Samia Kwa Ukusanyaji wa Mapato kwa Asilimia 99% kupitia TRA

    Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) kwa kipindi cha nusu ya kwanza wa fedha 2022/2023 kuanzia julai hadi disemba mwaka jana, imekusanya sh trilioni 12.46 sawa na asilimia 99 ya lengo la makusanyo ya sh trilioni 12.48. Kwa mujibu wa Kidata makusanyo hayo ni ongezeko la sh trilioni 1.35. kwa namna...
  5. NASIRIYA

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Hakika watanzania wanajivunia uwepo wapo @SuluhuSamia #kaziiendelee
  6. NASIRIYA

    Zanzibar yang'aa utalii kimataifa

    Zanzibar inatarajiwa kuwa mwenyeji wa onyesho kubwa la utalii la kimataifa ambalo litafanyika kwa siku mbili tarehe 23 na 24 mwezi Febuary mwaka 2023 katka hotel ya Golden tulip uwanja wa ndenge Zanzibar. Lengo kuu la onyesho hilo ni kuhakikisha wanaifikia dunia na kuonesha zanzibar imefunguka...
  7. NASIRIYA

    Rais Samia amaliza kero ya maji Njombe

    Wakala wa maji safi na usafi wa mazingira Vijijini (Ruwasa) Wilaya ya Njombe Mkoa wa Njombe umeanza kutekeleza Mradi wa maji utakaonufaisha wakaazi 4,144 wa kijiji cha Vyombo Wilayani humo. Meneja wa Ruwasa wilaya ya Njombe ELIKALIA MALISEMA alisema lengo la kujenga Mradi huo ni kuwapunguzia...
  8. NASIRIYA

    Historia ya Morocco

    Historia Makala: Historia ya Moroko Moroko ya Kale Habari za kimaandishi za kwanza ni kutoka karne za kwanza KK. Wafinisia walijenga miji yao pwani lakini eneo la ndani lilibaki nchi ya Waberber waliounda ufalme wa Mauretania ya Kale (usiuchanganye na nchi ya kisasa Mauretania) uliounganisha...
  9. NASIRIYA

    Waliogoma kuhama Ngorongoro wajuta

    Ukame na njaa inayoendelea kutikisa mkoa wa Arusha na baadhi ya maeno nchini umewafanya wananchi waliokataa kuhama kwa huyari kutoka Bonde la Ngorongoro kwenda kijiji cha Msomero katika Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga wajuta. mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, RAYMOND MANGWALA alisema kutokana na...
  10. NASIRIYA

    Kuuzwa kwa meli MV Maendeleo kumefuata sheria

    Ttz hamjafahamu sio ukarabati Kwa ajili ya uuzaji ni ukarabati wote toka meli imeanza kutumika . unafikiria mtu gani au serikali gani ambayo inaweza kutumia fedha nyingi kukarabati Hali iuuze Kwa fedha za chini huyo atakuwa juha
  11. NASIRIYA

    Lissu: Watoto wangu wote ni raia wa Marekani

    Najuwa hamtaki kumfahamu mtoa mada.mtoa mada anamanisha Lissu anataka watu waandamane Tanzania Kwa ajili ya kumpigania maslahi yake na familia yake wakati yeye yupo nje analipa na wazungu wewe huna anaekulipa upo tz.umeingia barabarani umevunjwa mguu hivi Lissu anaweza toka nje akakuletea fedha...
  12. NASIRIYA

    Kuuzwa kwa meli MV Maendeleo kumefuata sheria

    Hivi mlitaka Serikali ya Zanzibar ifanye nini kwenye hili? Mnatakiwa kutambua kuwa Mv. Maendeleo imeanza kufanya kazi tangu mwaka 1980 ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 600 na mizigo takribani tan 1001 kwa siku. MV. Maendeleo imefanya kazi kwa muda wa miaka 40 imeipatia faida ya trilion 1.44...
Back
Top Bottom