Nimesoma comment zote nimeona mvutano mkubwa sana, lakini pia nimeona kuna mawazo yenye afya na mengine ni hafifu sana, mie ni dereva boda boda, changamoto za boda boda nazifahamu sana, lakini nasema hivi siwezi kuchukua pesa yangu mfukoni nikaenda kununua pkpk ili nimpe mtu, na mtu anaetetea...