Vita yoyote ambayo adui anakuwa na watu wake wa kumpa taarifa ambao ni sehemu ya chombo cha serikali kinachopigana Vita hiyo haijawahi kuwa rahisi, pili kwenye Vita ya madawa ya kulevya kama alivyosema mtoa uzi unaweza kuwa na bajeti ya kutosha ama na bado usimalize tatizo kirahisi au...
That's why JF was named Home of great thinkers!
Hatupaswi kufikiri ndani ya box kama yeye we have to think beyond that. What do u expect Nkamia aseme wakati ubunge wenyewe kapewa na serikali? Tangu yuko TBC ni mtu wa kujipendekeza ili afanikishe lengo lake so mi sidhani kama ni mtu makini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.