Kwa hiyo kuna wavuta ngada walitaka jambo lao ndio liwe kubwa kuliko mkutano wa nishati?Yani nchi Iko busy na mambo ya msingi then wavuta ngada nao wanandaa content et waende hewani😆kongole jeshi letu
Hayo ni mambo ya kuja na kupita dogo usiache ku focus na mambo ya msingi sababu ya huyo mtoto mwenzako, wewe sio wa kwanza kuumizwa,watu wanaumizwa haswa na wanaji keep busy na mambo ya msingi,huenda kuna jambo unaepushiwa nalo,zidisha sana Ibada.
Woga wa nini sasa? mnajiita wasomi halafu mnaogopa midahalo kwani anatukanwa mtu?tusikilize then tuchambue,dini yako ikiwa ni ya kweli na huna wasiwasi nayo hupaswi kuogopa midahalo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.