Recent content by Narumu yetu

  1. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Waziri Gwajima: Tuhuma za Bodaboda kumfanyia ukatili Mwanafunzi wa Darasa la 3, Jalada tayari lipo kwa Mwanasheria wa Serikali

    Huyu Mama ni msomi ana utu na ni mcha Mungu ni mfuatiliaji na mtendaji mzuri sana kazini, alistahili awe ndiye Rais kwa sasa, kiukweli huu ukoo wa akina Gwajima ni watu smart sana kichwani wanakuchukua hatua za haraka kabla ya mambo huharibika.
  2. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Sakata la Dudubaya: Je Serikali inaunga mkono ushoga?

    Anaenda baada mashoga kutokuwepo.
  3. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Sakata la Dudubaya: Je Serikali inaunga mkono ushoga?

    Amesema hawezi kukaa meza moja na mashoga.
  4. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Rais wa Botswana, Duma Boko: Unapoingia madarakani inaweza kukuchanganya na kukufanya ujione kama nusu-mungu

    Changamoto ipo baadhi ya nchi za Afrika mashariki.
  5. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mussa: Warioba Tatizo Kuu la Watanzania

    Kwa nini awamu ya sita hawataki katiba mpya?.
  6. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mussa: Warioba Tatizo Kuu la Watanzania

    Warioba ni mwanaccm ni miongoni mwa wanufaika wa mfumo, zama hizo na sasa.
  7. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mussa: Warioba Tatizo Kuu la Watanzania

    Alitimiza wajibu wake, ikabaki wajibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania likiongozwa na wingi wa Wabunge wa ccm ndio walizuia kuipitsha rasimu ya pili ya Katiba ikakwama Bungeni.
  8. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Ni Halali kabisa Kuyumba Na Kupoteza Muelekeo kwa CHADEMA. Mnyika Elimu Kidato cha 6 Huku Heche Akiwa Na Elimu ya Hapa na pale. Wafuasi nao sifuri

    We nyumbu huna akili ni mtego wa maswali mahakamani katika kesi yoyote ile itakubidi ujibu kiakili ili umpoteze Katuga lengo alilokusudia mbele yako, Mnyika ni msomi wa vyuo mbalimbali hivyo basi, nitataja hapa ukivihitaji.
  9. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Walinzi wa Wake wa Marais wa Rwanda na DRC Wazozana Katika Hoteli nchini Marekani

    Tatizo la black man.
  10. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Singapore Yatoa Dola 70,000 Kuvutia Wanandoa Kupata Watoto Huku Uzazi Ukiporomoka

    Wanajielewa gharama za maisha kuzaa ni umaskini bora uache.
  11. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyerere: CHADEMA wanajipanga kwa jaribio lingine la mapinduzi baada ya kufeli Oktoba 29

    Yericko ni pandikizi la ccm.
  12. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ishengoma: Maandamano ya Oktoba 29 "Sisi tulichokifanya yalikuwa ni mapinduzi. Ushahidi ninao

    Asipokamatwa ni aibu kwa serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama.
  13. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Serikali kuanza usajili wa watu wenye umri chini ya miaka 18 kuwapatia Jamii namba

    Ni jambo zuri maana vijana wa nchi jirani ni wengi hapa Dar wanajifanya Waha, kazi yao kubwa ni biashara ndogondogo ya kuuza karanga, pipi, pita Kariakoo na Karume kila anayefanya iyo biashara sio raia serikali ipo bize sijui kama wanajua maana hatua hazichukuliwi.
  14. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Walichokifanya Madee na Babu Tale ni chukizo mbele ya Allah. Sijapendezwa nalo

    Dini ni utumwa kwa wale wapenda kuonekana.
Back
Top Bottom