Huyu Mama ni msomi ana utu na ni mcha Mungu ni mfuatiliaji na mtendaji mzuri sana kazini, alistahili awe ndiye Rais kwa sasa, kiukweli huu ukoo wa akina Gwajima ni watu smart sana kichwani wanakuchukua hatua za haraka kabla ya mambo huharibika.
Alitimiza wajibu wake, ikabaki wajibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania likiongozwa na wingi wa Wabunge wa ccm ndio walizuia kuipitsha rasimu ya pili ya Katiba ikakwama Bungeni.
We nyumbu huna akili ni mtego wa maswali mahakamani katika kesi yoyote ile itakubidi ujibu kiakili ili umpoteze Katuga lengo alilokusudia mbele yako, Mnyika ni msomi wa vyuo mbalimbali hivyo basi, nitataja hapa ukivihitaji.
Ni jambo zuri maana vijana wa nchi jirani ni wengi hapa Dar wanajifanya Waha, kazi yao kubwa ni biashara ndogondogo ya kuuza karanga, pipi, pita Kariakoo na Karume kila anayefanya iyo biashara sio raia serikali ipo bize sijui kama wanajua maana hatua hazichukuliwi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.