Recent content by Narumu yetu

  1. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Je, unahitaji kumiliki simu ya ndoto yako kwa bei nafuu? Usiache kupitia huu uzi

    Mkuu Samsung A17 nitaipata kwa Tsh. ngapi?.
  2. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Mufti mkuu wa Tanzania Zuberi bin Ally ajikuta katika aibu asiyoitarajia mbele ya wageni waalikwa harusini

    Wengine kutokuwa na sifa ya kupewa tenda kubwa kwenye sherehe muhimu, shughuli na warsha mbalimbali.
  3. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Mufti mkuu wa Tanzania Zuberi bin Ally ajikuta katika aibu asiyoitarajia mbele ya wageni waalikwa harusini

    Amini mkuu sijifurahishi ni kweli kasema mtume (S.A.W) amani na rehma ziwe juu yake, labda wewe hujui au hukusoma Madrasa.
  4. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Mufti mkuu wa Tanzania Zuberi bin Ally ajikuta katika aibu asiyoitarajia mbele ya wageni waalikwa harusini

    Mtume Muhamad alisema asiyependa ubwabwa ni mwendawazimu.
  5. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Mufti mkuu wa Tanzania Zuberi bin Ally ajikuta katika aibu asiyoitarajia mbele ya wageni waalikwa harusini

    Kinondoni hawana muda wa kupoteza ingekuwa Mbagala sawa.
  6. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Mufti mkuu wa Tanzania Zuberi bin Ally ajikuta katika aibu asiyoitarajia mbele ya wageni waalikwa harusini

    Mufti mkuu wa Tanzania Sheikh Zuber bin Ally amejikuta katika hali ya aibu Ni baada ya wageni waalikwa katika harusi ya mwanaye kuanza kuondoka baada ya mpishi na waandaazi kuchelewasha chakula Tukio hili limetokea leo ijumaa msikiti mkuu Kinondoni.
  7. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Sijui ndio tuwaite washamba au limbukeni wa magari?

    Mkuu kwani hujui utekaji wa kishamba ndio chanzo cha yote haya.
  8. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Naomba Mkopo wa TSh 20,000 – Nimekwama kwa Sasa

    Sema unakoishi wapi namba yako ya simu.
  9. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    we mpumbavu kaa kimya huna hulijualo
  10. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Rachel Dangwa yuko 'kwenye Mikono Salama'

    Kwa hiyo wamalizane naye kama wafanyavyo kwa mateka wengine??
  11. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Ushindi ni kujishinda

    Kutoa offer ni moja mbinu nzuri
  12. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya pombe zinazozalishwa Tanzania zapigwa marufuku kuuzwa Rwanda

    Wanalinda soko lao LA ndani.
  13. Narumu yetu

    JamiiForums Tanzania Jirani yangu anafuga nguruwe na ni mchafu wa kuzaliwa

    Siasa ndio chanzo cha mipango miji kutofanya kazi ipasavyo.
Back
Top Bottom