Sa
Ni kweli kabisa maana hawa Tacri wapo hapo Lyamungo na kwa sasa wana shamba darasa huku maeneo ya Fofoo kwa chini inaonekana wewe ni mtaalamu wa kilimo na mtafiti asante sana father Mungu akupe afya njema bado tunakuhitaji kwa mchango wako hapa ndani.
Safi sana vipi kule Lyamungo Ari Kilanya sikuoni tena umeacha kuja maana miaka ya 2000-2001 ulikuwa ukikatiza na ile Suzuki vitara mara pikipiki Honda wapi kwa sasa home.
Zitto anapenda cheo na cheo cha mkuu wa chama ni zaidi ya uenyekiti na cheo alichonacho hakigombewi kwa hiyo Zitto ni mfalme ndani ya Act ni sawa na kusema Act ni mali Zitto na dola viongozi wengine fanyeni uchaguzi kuanzia ngazi zote za chini hadi level ya uenyekiti lakini cheo cha mkuu wa...
Mkuu niko hapa Pade bar nakula vitu vyangu kimya kimya hawa wahudumu wamekaa kwa mbaali wakiniangalia nami anaendelea na safari zangu bariidi wala sina habari nao wao ni kujipitisha na mizambwandwa yao mi nawambia kimoyomoyo maisha ni magumu kila mtu apambane na hali yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.