Nimeona nikujibu us
Nimeona nikujibu usije ukajinyonga bure kwanza ujue kuwa unatakiwa kusoma majibu ndani ya dakika 10 baada ya hapo kipimo kinaweza kuchora mistari mingine ikakuchanganya lakini pia ujue mistari mmoja ni negative yaani hauna miwili ni positive yaani unao japo wewe ulisema...
Akili yako ndogo kuliko umri wako, Mimi sio kaa wewe. Ni Chadema damu damu kadi yangu imelipiwa mpaka 2018 ninajielewa na nimeandika ninayoyafahamu sio wewe unayekurupuka na kama upo Ukawa basi hautufai ndo nyie mnaotuharibia image ya ukawa .
Ni raia wake, kwanini asifanye hivyo. Ni ukweli usiopingika wale hawana mahusiano yoyote na usalama wa taifa. Ni katika kujitafutia tu Riziki,wana NGO's iliyopata ufadhili wa kufanya utafiti wa madhara yatokanayo na uranium. Jaribu kumuuliza mtu yoyote aliyepo Songea.
Mbona roho mbaya hivyo wewe, wanyongwe wamekosa nini. Hauna roho ya ubinadamu wewe, familia zao zinaumia kuwakosa kwa miezi yote hiyo wewe unadiriki kusema wanyongwe. Jamani watanzania mpuuzeni huyu mtu na roho yake mbaya hawa ni watanzania wenzetu wa kawaida tu, walitokea huku Songea kwenda...
Wewe Lizaboni nahisi una uchizi kabisa, maake sijui ni mahaba ya kujifanya haujui hata elimu ya huyo mbunge wako mpaka awe waziri mkuu, na haliwezi kutokea ungekuamshauri vizuri wa serikali yako ili angalau ahadi zenu kede kede mlizo ahidi ungempenekeza PRO.SOSPETER MUHONGO.
Mimi niombeeni wanamabadiliko wenzangu maana nina wazia wenzangu mabaya angali nikijua kuwa ni dhambi kumuwazia mabaya adui wako ila nashindwa kujizui kuwaza....... Mnajua nawazia nini hawa wenye nchi?........................ Ukipata jibu hapo, basi mjue wazo langu na maombi yangu yakitimia...
Wote tunafia humohumo? Lakini sio mbaya maake watanzania wengi bado ni wajinga twaazibuni tu, nipo Ruvuma huku naona ndo misukule ya CCM hawajielewi hata kidogo, Kama kuna wanaruvuma waliokomboka akili zao huko washaurini waje wawaelimishe ndugu zao maana ni aibu tu kwa maisha wanayo ishi na...
Napenda kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kunifikisha leo hii siku ambayo niliisubiri kwa hamu sana, Napenda kumshukuru sana MH EDWARD LOWASA kwa uzalendo na uaminifu alio tuonyeshea watanzania wenye shauku kubwa ya MABADILIKO japo naamini kabisa amepitia majaribu mengi sana tangu alipo jiengua...
Siku hizi hata wazee wamebadilka, Jana nilikuwa naongea na mama yangu mwenye umri wa miaka 68 nikita kujua msimamo wake kisiasa akafura kweli yaani watoto wa matajiri ndo wapate kazi wakwetu masikini wasipate kazi hapo kesho naenda kupigia kwenye vidole viwili tuone na wengine watatusaidiaje...
Hahahaha hamtuchomoi kabisa tushamzimia ko hata angesema yeye ni gaidi ss tuko naye tu,ndo chuguo letu,hv ule wimbo wa huyo chaguo lako umewapta kuchoto hata kama n fisad,hata kama n mdn,hata kama n mkabila,hata kama n mgonjwa chaguo letu! huyo chaguo letuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.