Acha kudanganya umma wewe, Mh Mizengo Pinda amepokelewa ktk taratibu za kiserikali kama viongozi wengine wakuu wanazuru kwenye nchi yoyote kwa ziara za kiserikali, hata hivyo Pinda alienda Botswana kumuwakilisha Mh Rais kwenye mkutano wa SADC na tayari leo amesharudi.
Acha kuongea utumbo wewe Njaa Mbaya sana kama jina lako, thibitisha udhaifu wa Waziri Mkuu. Waziri Mkuu Pinda amejitahidi kurejesha heshima ya serikali
Huyu mratibu wa 4u movement Hemed Ally ndiye anayesumbua watu humu jamii forum kwa kujiita Ocampo four. Ni kijana mwenye njaa sana. Muda si mrefu tutwawekea picha yake. Asidanganye watu na hiyo movement ya kipuuzi
Ni upuuzi nyinyi vijana kutumika na huyo jamaa ambaye kimsingi hana sifa za kuwa Rais wala Amiri Jeshi Mkuu. Mnatumika kwa njaa zenu na mtaachwa kwa njaa zenu
Mkuu Kapilula, ukitaka ku attach picha ingia sehemu ya kureply, then bonyeza kitufe cha option itakupa option kadhaa zen chagua attach itakupekeka moja kwa moja kweny gallery, baada ya hapo utachagua picha unayotaka ku attach.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.