Naandika post hii Leo SAA 01:40 USIKU 16/10/2016 . Sitasahau usiku huu nikiwa nmekosa furaha, amani na usingizi lakin yote nimesababishiwa na HESLB !.
Inasikitsha pale ambapo masikini anafanya juhudi za kujikwamua kutoka katika umasikini halafu juhudi zake zinazimwa!
HESLB wanaonesha kila...
Wadau kwa mujibu wa ujumbe alioutoa bhana venance shitindi tusipofatilia swala hili linakula kwetu hapa chamsingi ni kuifkishia serikali malalamiko kwann wasitekeleze agizo la raisi wakati wa kampeni ?.
Unaambiwa hta boom znaendaktilewa kwa %
Ko ukpata mkpo % labda 50 boom pia itapgwa kwa % 50...
Ni sheeda wtu tumeshindwa kul tokea asbui coz tnawaza nn hatma ya maisha YETU kama birth certificate ya baba marehm niliatach, nmesomea shule za kata na za serkal la kwanza _form six, ufaulu nmefaulu vzur zaidi. Leo hii naandikiwa SJA BE ALLOCATTED FOR LOANS KWA MWAKA WA MASOMO 2016_2017...
Pia msiwe mnakosoa course za wngne kwan watu wte hwawzi kusoma sayansi na usijdanganye kwamba we kusoma saysnsi ndo ume wini maisha syo na uanze kutupia wengne matusi kisa kasoma art .
Xana man ndo hvyo wngne hwjui lolte zen mada ukiletwa wnajifnya wnaponda kmbe kaishia certificate na wngne hwna lolote kaz yao ni kukesha humu wkiponda mada za wtu .
Ushaur wngu kwao hatupo ktka zama za ujinga tena ambpo wtu wlitafta umaarufu kwa kuongea mada za kijinga kma hwana kazi baxi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.