haka kamchezo hakaitaji asira.huyu lipumba alikimbia vitani baada ya ukawa kununua silaa kubwa zaidi.
na kujiuzulu nafasi yake akiwa kama mkuu wa kikos leo hii vita imeisha japo tulipigwa anataka tena kua kiongoz wa msafara.noo aiwezakani.kama anaona anakubalika sana achukue maamuzi alio chukua...
HII NI KUTO KUJIAMINI.NA WALA ZOEZI LAO ALINA TIJA KWA NCHI KAMA TANZANIA.tena waache mara moja huu mchezo.
silaha hua azimalizi matatizo daima.wajifunze kwa nchi zingine ambazo zilisha hasirika na ghasia za wananchi na police wapo na silaha wanazo tena za ki sasa.sio kombeo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.