Recent content by nanonya

  1. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kuiona kabisa hii hapa na ukanyimwa? Inasikitisha sana!

    Sasa ndugu utakuwa una tatizo, yaani umeiona kabisa alafu unanyimwa? Mwanamke kama hataki kukupa hawezi kukubali mkafikia hatua hiyo
  2. N

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Tunauza viwanja kwa ajili ya makazi au biashara, vilivyopimwa katika miji ya Arusha na Moshi

    Nipe kiwanja maeneo ya USA, I like that green
  3. N

    JamiiForums Tanzania Mnaoishi Dar, eneo gani unalisikia ila hujawahi kufika?

    Mwananyamala nchi mbovu 🤣🤣🤣
  4. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania "Long Distance Relationship" yako ilidumu kwa muda gani au huataki hata kusikia mahusiano ya mbali?

    Niliachana na yule alipofika ubungo tu
  5. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo 5 ambayo MWANAMKE hutakiwi kuficha pale unapoanza MAHUSIANO!

    Influencer wa nyuchi, pia Ni yanga kindaki ndaki
  6. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania To make a short story long: Hatari ya kuficha mahusiano

    Dah inawezekana side alikujua siku nyingi na alijua wewe na Mamuu ni marafiki. Side alipanga kukutafuna kitambo, ukaingia kwenye 18 mwenyewe. Fikiria hizi Scenario Upo duka la Vinywaji na yeye anakuja Anakupa Fortuner akuteke akili Anasahau simu yake makusudi Anajifanya hayuko powah anajua...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu naombeni ushauri kabla sijachukua hatua mbaya sana kwa dada yangu mwenye tabia ya kumkaripia mama pasipo sababu yoyote

    Amekuzidi 15 years, nadhani labda kuna siri yeye anajua kuhusu mother, bali haijastufy kumkosea heshima mwanamke mwenzake. Mtafute na mweleze tu ukweli taratibu pia zungumza nae friendly akueleze shida ni nini. Tengeneza mahusiano mazuri na dada yako,
  8. N

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu zisizofutika

    https://youtu.be/M9ydZ5WjF9Q?si=OZolE0BQh0kfhyi6
  9. N

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu zisizofutika

    Pole sana kiongozi kwa kumpoteza Rafiki yako, hii hali ni ngumu sana hata mimi nilipitia. My friend ananitokea hadi ndotoni, sometime I feel its real. I lost a good friend and a brother. Kuna marafiki wazuri kuliko ndugu. Time heals Brother
  10. N

    JamiiForums Tanzania Wavuvi Camp: Billi ya mezani Tsh 11 Millioni kwa usiku mmoja wa tarehe 15/03/2025

    Tembea uone mkuu, jipe hata night moja tembelea pande hizo. Watu wanatumia hela
  11. N

    JamiiForums Tanzania Ila kutapeliwa kunauma wakuu

    Dah Acha tu Kuna Bidada last year katembea na matapeli hadi wakapanda daladala, kufika nyumbani kawapa bag la Jewelery eti wakaliombeee 🤣🤣🤣
  12. N

    JamiiForums Tanzania Mbio za ubingwa Simba SC vs Yanga SC mechi zao za ugenini

    Coastal Union piga hawa mbwa bado wanapumua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 💛💚💛💚💛💚
  13. N

    JamiiForums Tanzania Ila kutapeliwa kunauma wakuu

    Sio aina hiyo tu, wanawake wanatapeliwa kirahisi sana. Wana hisia(Huruma, upole na Ukarimu) sana kuliko kutumia akili. Tapeli ukianza kumsikiliza tu ni kosaa
  14. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Mkuu naona unataka kampani ya gambe coz mtoa mada mambo ya familia na mahusiano hayupo vizuri kabisa. Kabla hujafika mwanza akutumie namba za bamdogo 🤣🤣🤣🤣
  15. N

    JamiiForums Tanzania Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

    Mtoa mada ametutapeli Milioni 42 Cassssh Tumebakiwa na millon 8 Casssh Tunaenda kuloga kesssho
Back
Top Bottom