Recent content by NANI WEWE

  1. N

    Methali mpya

    Bora tuwe na kingi tukagawana, kuliko kuwa na kidogo tukagombana. Aliyejuu mfate juu. Baniani mbaya rudisha kwao india. PENYE KUKU WENGI, HAPAKOSEKANI KITEWEO.
  2. N

    Maneno haya yanayoelezea wakati yananichanganya

    alfajiri ni kuanzia saa 9 usiku hadi 11, na kuanzia 12 ni asbh, kuanzia 6 kamili ni mchana AMBAO huendelea hadi 10.ADHUHURI IMO NDANI YA MCHANA, SAA 7 NI ADHUHURI,NA ALAASIRI NI MWISHO WA MCHANA YAANI SAA 10, Na kuanzia 11 ni jioni na magharibi inaanza kuzama kwa jua hadi saa 1 usiku.
  3. N

    Watu Wa Kusini na neno "Kugoma"

    Sasa mkuu ukitembelea kusini ya unguja si utachoka na neno "kusimika" usije ukalitamka huko.au neno tembo. Hii ni kuonesha kwamba lugha hutofautiana katka lahaja zake na hapo ndipo tunapopata hasa maana ya lahaja
  4. N

    Kipi bora: LLM Vs Law school?

    NDUGU YANGU HAPO UNATAKIWA KUPIGA MAHESABU SAWASAWA, Angalia malengo yako nini, je kwasasa unataka kupractice au uwe just to the ofice tu . Je hiyo LLM YUPO MSHEFA WA KUKUSPONSOR AU KIVYAKO VYAKO TU. LOOK ON IT BABAA
Back
Top Bottom