Recent content by Nangere

  1. N

    Nimemshangaa General Mirisho Sarakikya

    Hakuna kupepesa macho. Nasari ni muelewa. Hakuna alichokifanya kwa kutokuelewa. Drive iliyopo kwa sasa ni e-government. Kama alituma email kwa spika na kujibiwa, kuna tatizo gani? Ushaidi utaonesha. Short of that sheria itafuata mkondo wake.
  2. N

    Butiama wananyang'anywa sufuria, jembe kisa michango ya elimu. Shinyanga wanagawiwa ID za ujasiriamali kwa mtutu na askari. Tutafika?

    Kwa kawaida kodi za wananchi na ada mbalimbali ndizo michango yao ya "lazima" kwa serilali iliyoko kisheria. Hivi ndivyo vyanzo vikuu vya mapato ya serikali ambayo yanayowezesha uendeshaji wake: kugharamia matumizi ya kawaida (recurrent expenditure) na kuwaletea maendeleo (development...
  3. N

    Ujumbe maalumu kwa mheshimiwa Tundu Lissu

    Yamkini mtu mwenye imani ya kutiliwa shaka akakataa nyoka kuitwa nyoka kuepuka kumkaribisha. Huo utakuwa ni ujinga na unafiki. Ukweli haubadiliki kwa kupotoshwa. Uhai na maisha ya mhe Lissu vilikumbana na mikono katili ya "watu wasiojulikana". Katika hali hiyo moyo wa binadamu yeyote awaye...
  4. N

    Ujumbe maalumu kwa mheshimiwa Tundu Lissu

    Yamkini mtu mwenye imani ya kutiliwa shaka akakataa nyoka kuitwa nyoka kuepuka kumkaribisha. Huo utakuwa ni ujinga na unafiki. Ukweli haubadiliki kwa kupotoshwa. Uhai na maisha ya mhe Lissu vilikumbana na mikono katili ya "watu wasiojulikana". Katika hali hiyo moyo wa binadamu yeyote awaye...
  5. N

    Godbless Lema: Zile mbwembwe za TRA kutangaza mapato zimeishia wapi?

    Kuendesha nchi na uchumi wake si suala la mtu mmoja. Hakuhitaji sarakasi wala mikakati binafsi. Hata bajeti ya kifamilia inahitaji majadiliano ya me, ke, na watoto; kama ni wakubwa. Sheria ya Takwimu ilipitishwa fasta kuilinda kaya dhidi ya ukweli kuwafikia Watanzania. Mheshimiwa ZK alipaaza...
  6. N

    Je, kuondoka kwa Lowassa nini hatma ya CHADEMA uchaguzi 2020?

    Mwacheni Mhe Lowasa ale uzee wake na pensheni kwa amani. Hekaheka dhidi ya upinzani na wapinzani zimemtosha. Aidha,, zinataka mwanasiasa ambaye bado anajisikia yuko vizurikiafya. Aliweza kuhimili ni marehemu Ngombale Mwiru kwavile ya imani yake. Hali (conditions) hubadilika na siasa nchini na...
  7. N

    Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

    Hesabu na "timing" ya nhe Lowasa ni zero na inampa taswira halisi. Lowasa alihamia CHADEMA waliokuwa wamemwandama kwa kumtuhumu kwa ufisadi baada ya Mbowe "kubadili gia angani" ili kupata fursa ya kugombea nafasi ya uras kwa tiketi ya chama hicho. Akashindwa katika Uchaguzi Mkuu. Kumbe kama...
  8. N

    Kukomesha hao wahujumu uchumi muda sasa umefika kwa biashara nyeti kufanywa na Majeshi yetu

    Sera iliyokuja na mabadiliko ya uchumi kutoka ule wa hodhi ya makampuni/mashirika ya umma ni kkufanya uchumi huria. Serikali ikajitoa kwenye shughuli za kibiashara. Ikawepo biashara huria. Nia na madhumuni ilikuwa kuondosha ukiritimba na kuongeza ufanisi na tija katika uchumi. Wakulima wa...
  9. N

    Paul Makonda: Kuanzia 01.03.2019 kila mtu lazima awe na kitambulisho cha machinga au ajira, kama huna we mhujumu uchumi

    Nia ya kuwasajili wakulima ni nn?Mkulima yupi asiyeulikana kijijini kwake? Na hili linagharimu pesa pesa "Ubunifu" huu hauna mantiki. Zipo tawimu za sensa, wapigakura, na vitambulisho vya taifa. Ikaja sheria ya takwimu. Hofu ya takwimu mbadala inakujaje kama "hazipikwi"? Haieleweki kama mradi wa...
  10. N

    Paul Makonda: Kuanzia 01.03.2019 kila mtu lazima awe na kitambulisho cha machinga au ajira, kama huna we mhujumu uchumi

    Nchi hii inaendeshwaje na nani? Walio na macho waliisha kuona hatari ya kutokea haya na hatma ya utawala bora wa sheria. Waliosoma historia ya Ujerumani watakumbuka Hitler alivyopanda madarakani kwa ushabiki na baadaye kuitawala kwa staili yake. Marehemu Baba wa Taifa, Mwl J. K. Nyerere aliwahi...
  11. N

    Kukosa Kipaumbele kunamuua Magufuli kisiasa

    Achague lipi sasa kati ya haya: Dira, malengo au vipaumbele vya taifa? Mpangaji, mtunza pesa, na mtendaji yeye! Ndege anunue, alipie, na apeleke "gereji" yeye kwa kuhofia kupigwa.
  12. N

    Tundu Lissu: Tusipoyasema haya juu ya kifo cha Ruge Mutahaba, mawe yatasema

    Nikukumbushe mfia chama chetu. Mada kwa ufupi ni mchango wa Ruge kwa chama, "ukubalifu wake kwa jamii, kutoswa kwake, mwisho wake wa mashaka, na msiba wake.
  13. N

    WINDING 2018: Hali ya Halmashauri ambazo Chadema ni chama tawala

    Nyakati za kampeni za kuwaomba wananchi "ridhaa ya kuwaongoza, wagombea hufimama majukwaani na kusikika wakisema; " nitakuwa . . . wa wananchi wote bila ya kubagua kwa misingi ya itikadi za kisiasa". Vijana wa Afrika wameanza taratibu "kuamka" ili kulikomboa bara hili kutoka kutokana na...
  14. N

    Lissu: Hata Mbowe achunguzwe!

    Unafanya jitihada ya ku-divert issue
  15. N

    CHADEMA kumbukeni hamgombani na Magufuli bali mnagombana na Watanzania lazima mshindwe

    Akina mama vijijiniwanatumia Massa 3-4 kupata ndoo 1 ya maji yasiyo safi wala salama. Majukwaani: "maji yanapatikana kwa asilimia 80 mijini na 60% vijijini."
Back
Top Bottom