Recent content by nangela04

  1. N

    Siasa michezoni: Simba kapigwa M4C

    Du! Hali Mbaya hiyo.
  2. N

    Ushindi wa Yanga ni dalili za ushindi wa CCM

    Kwani Mechi immemalizika?
  3. N

    CCM ilioza, CHADEMA/UKAWA inaoza!

    Tutakachoshuhudia ni Tanzania Mpyaa yenye CCM mpya. Nionacho ni new birth "kuzaliwa mara ya pili"! The ongoing events will eventually end up with internal as well as external cleansing! Nasubiri kwa shauku kuiona Tanzania mpya.
  4. N

    Jaji Augustino Ramadhani achukua Fomu kugombea Urais wa JMT

    "Chema chajiuza....kibaya chajitembeza" (chajinadi)....! A new era is dawning in Tanzania as from 1st November 2015. I marvel what is about to unfold in this country!
  5. N

    Rais Kikwete amteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi mpya wa mashtaka (DPP)

    Ukitaka kuzijua pitia rekodi ya kesi za jinai (reported) za Court of Appeal na High Court ndipo utakapojua. Jamaa ni jembe rafiki! Si mzaha na NI MWADILIFU. Hii ndiyo sifa namba 1.
  6. N

    Rais Kikwete amteua Biswalo Mganga kuwa Mkurugenzi mpya wa mashtaka (DPP)

    Mganga ni mchapakazi wa kuigwa.... anastahili uteuzi huu. Nampongeza kwa dhati. Nimefanya naye kazi kwa karibu sana. Uwezo wake ni mkubwa na ameendesha mashauri mengi magumu kwa ufanisi. Hongera Mganga. Piga kazi kwa bidii zaidi.
  7. N

    Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

    Nachelea....kusema. Akilini nimeikumbUka story moja kwenye Bible inayohusiana na jinsi Wana-waisrael wakiwa na Kamanda wao Yoshua walivyo uangusha mji mkubwa wa Yeriko lakini wakapigwa na ka-mji kadogo sana kaliko itw Ai. Uovu ukiendelea sana katika nchi yetu si ajabu 'Ai' ikatufanya tujute...
  8. N

    Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

    Nachelea....kusema. Akilini nimeikumbika story moja kwenye Bible inayohusiana na jinsi Wana-waisrael wakiwa na Kamanda wao Yoshua walivyo uangusha mji mkubwa wa Yeriko lakini wakapigwa na ka-mji kadogo sana kaliko itw Ai. Uovu ukiendelea sana katika nchi yetu si ajabu 'Ai' ikatufanya tujute...
  9. N

    Tizama ITV online

    Mbona hiyo link ya ITV haiingiliki?
  10. N

    Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    Nadhani "katangaza nia ya kuachia ngazi..Kwa vile Mh.Muungwana hajatamka neno...basi bado Lowassa ni PM.'Vinginevyo tusubirie hadi kikao kitakapoendelea Saa 11 jioni.Hii itakuwa historia mpya Tanzania.
Back
Top Bottom