Mama mtu ana miaka 14, binti Kazaliwa 1991, Kaanza shule pengine 1995,ana miaka 4. Kamaliza Sm, 2002 akiwa na miaka 12,hapo hajarudia darasa. 2006,kamaliza Form4,2008 form 6.hajarudia darasa.
2009-2013, miaka 4,asante degree mpaka masters huko London.??
Nahitaji masaada WA kimawazo la sivyo...
Mm, mama ana miaka 39, binti ana miaka 25. Kwahio mama alijifungua akiwa na miaka.. 39- 25= 14?
Sasa huyu mama wa kujifungua akiwa na miaka 14,hakuenda shule?
Mambo mengine tu tafakari. Hadithi lenyewe lina acha maswali kibar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.