N
Ni kweli kabisa kuna watu wanachuki binafsi , Maana mm pia ni mmoja wawalio hudhuria workshops za Job Junction Tanzania na kufundishwa vyema about how to face interviews and cv preparation.
Na hatimae nikafanya vzurii interviewees zangu nilizo hudhuria na kupata kazi.
Ukweli Joh Junction is...
Kwanza ningependa utambue sikulipia ili nipewe kazi bali nipewe skills za interviewees na nipate fursa za interviewees.
Siku fanya frequently Registration is only once Registration for all interviewees.
Na nilipo fanikiwa kupata kazi mshahara wangu haukupitia Job Junction bali niliupokea mm...
Mr Ezekiel mbaga haina haja ya kutumia maneno makali kama matusi inaonesha wazi huna hoja zaidi ya chuki,Mtu mwenye nia nzurii kwa jamii huwa anatumia hoja nasio matusi.
Inaonesha wazi ww ni mshindani tu bila hoja bali unachuki na huduma njema inayotolewa na Job Junction,Kiukweli mtu msomi...
UKWELI KUHUSIANA NA JOB JUNCTION:
Job Junction imekuwa msaada mkubwa kwa vijana na imesaidia vijana wengi kupata uelewa wa interviewees skills na hatimaye kufanya vizuri interviewees .
Job Junction hawatoi Ajira kama watu wengine wanavyo fikiri bali wanafundisha watu namna ya kufanya vizuri...
MM nimepata kazi kupitia Job Junction na wako open sana,Hawa wanao wazungumzia Job Junction vibaya ni wale walio shindwa interviewees au ambao hawajawahi kujiunga na huduma zao.
Maana huduma wanayotoa ni interviewees na kukufundisha interviewees skills kama maswali na kuandaa cv pia...
Hawa Jamaa Wako vizuri sana ,Mimi nimepata kazi kupitia wao.
Kwanza wako wazi na wakweli unapo fika ofisini kwao.
Ukifika wanakwambia wazi kuwa huduma wanayo toa ni kukutafutia interviewees na sio kukupa moja kwa moja Ajira.
Ina maana lazima uwe vizuri kwenye kufanya interviws ,Mm nilihudhuria...
Hawa Jamaa Wako vizuri sana ,Mimi nimepata kazi kupitia wao.
Kwanza wako wazi na wakweli unapo fika ofisini kwao.
Ukifika wanakwambia wazi kuwa huduma wanayo toa ni kukutafutia interviewees na sio kukupa moja kwa moja Ajira.
Ina maana lazima uwe vizuri kwenye kufanya interviws ,Mm nilihudhuria...
Hawa Jamaa Wako vizuri sana ,Mimi nimepata kazi kupitia wao.
Kwanza wako wazi na wakweli unapo fika ofisini kwao.
Ukifika wanakwambia wazi kuwa huduma wanayo toa ni kukutafutia interviewees na sio kukupa moja kwa moja Ajira.
Ina maana lazima uwe vizuri kwenye kufanya interviws ,Mm nilihudhuria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.