Malinaahsheby
New Member
- Jul 16, 2021
- 3
- 0
Kwanza kabisa namshukuru mwenyenzi Mungu na then na washukuru Job Junction Tanzania kwa mafunzo ya interviewees skills na huduma zao wanazo toa.
Mm kabla sijawatembelea Job Junction Tanzania ofisin kwao,Nilikuwa nafanya applications nyingi sana bila kuitwa kwajili interview .Sikujua kwann siitwi kwajili interview,Pia ndan ya mwaka mzima au miaka miwili naweza kupata interview mbili tu na nikifanya hizo interviews sifanikiwi kupata ajira.
Sikujua tatizo lipo wapi paka rafiki yangu alipo niambia nijaribu kuwatembelea Job Junction Tanzania,Ikanilazimu niwatembelee ofisini kwao.
Walinisaidia kunielimisha namna ya kuandaa cv inayoweza kuwa markeble katika soko la ajira na inayoweza kumeet requirements za positions nazo fanya applications .
Pia walinifundisha namna ya kujibu maswali ya interviewees kiufasaa,How to know what employer need from me,How to show my uniqueness Pia nilikuwa Sina confidence kiukweli Job Junction walinisaidia kunijegea confidence kwa kutumia watu wao wa saikologi.
Na Job Junction hawakuishia kunifundisha tu interviewees skills bali walisambazia cv yangu kwakila kazi zinazokuwa zikitangazwa na makampuni mbali mbali,Pia walinisaidia kupata interviews nyingi ili niweze kufanya vizurii hatimaye nipate kazi.
Huduma hii wanayo itoa ni muhim saana na imesaidia watu wengi na wako very Open na positive katika huduma zao.
Ni kweli katika kila jema hakukosi maadui na wapinzani ,Kuna wanao watupia matope ila hao ni wenye chuki na Job Junction na that y wanishia tumia kauli chafu na lugha mbovu.
Ningependa ili uijue Job Junction Tanzania jaribu kuwatembelea ofisin kwao au follow Instagram page Job junction tanzania
Mm nimefanikiwa kupitia Job Junction Tanzania na niwengi tulio fanikiwa,For more testomonies visit Instagram page yao.
Mm kabla sijawatembelea Job Junction Tanzania ofisin kwao,Nilikuwa nafanya applications nyingi sana bila kuitwa kwajili interview .Sikujua kwann siitwi kwajili interview,Pia ndan ya mwaka mzima au miaka miwili naweza kupata interview mbili tu na nikifanya hizo interviews sifanikiwi kupata ajira.
Sikujua tatizo lipo wapi paka rafiki yangu alipo niambia nijaribu kuwatembelea Job Junction Tanzania,Ikanilazimu niwatembelee ofisini kwao.
Walinisaidia kunielimisha namna ya kuandaa cv inayoweza kuwa markeble katika soko la ajira na inayoweza kumeet requirements za positions nazo fanya applications .
Pia walinifundisha namna ya kujibu maswali ya interviewees kiufasaa,How to know what employer need from me,How to show my uniqueness Pia nilikuwa Sina confidence kiukweli Job Junction walinisaidia kunijegea confidence kwa kutumia watu wao wa saikologi.
Na Job Junction hawakuishia kunifundisha tu interviewees skills bali walisambazia cv yangu kwakila kazi zinazokuwa zikitangazwa na makampuni mbali mbali,Pia walinisaidia kupata interviews nyingi ili niweze kufanya vizurii hatimaye nipate kazi.
Huduma hii wanayo itoa ni muhim saana na imesaidia watu wengi na wako very Open na positive katika huduma zao.
Ni kweli katika kila jema hakukosi maadui na wapinzani ,Kuna wanao watupia matope ila hao ni wenye chuki na Job Junction na that y wanishia tumia kauli chafu na lugha mbovu.
Ningependa ili uijue Job Junction Tanzania jaribu kuwatembelea ofisin kwao au follow Instagram page Job junction tanzania
Mm nimefanikiwa kupitia Job Junction Tanzania na niwengi tulio fanikiwa,For more testomonies visit Instagram page yao.