Recent content by Nams

  1. N

    Wito kwa Serikali: Gharama za Vivuko vya Azam Kigamboni-Magogoni iangaliwe Upya

    Tunaomba mamlaka iangalie upya hii bei ya kuvuka Kigamboni to kivukoni kwa Seatax Sh500 ni ongezeko kubwa mno maana ni zaidi ya 100% bei tunayo panda kwenye vivuko vya serekali hii hawajatusaidia wametuongezea tatizo..
  2. N

    PSSSF kuanza rasmi Agosti mosi 2018

    Ndio hayo maelezo ya serekali yanavyo jieleza. Ila kwakua huku makazini kunawatu wanapenda sifa wanaweza wakahamisha watu kilazima.
  3. N

    PSSSF kuanza rasmi Agosti mosi 2018

    Hakuna kitu kama hicho muongozo ni kwamba kuanzia tarehe 1/8 watakao ajiriwa kwa taasisi za serekali ndo watakua lazima waende kwenye huo mfuko wa PSSSF na wafanyakazi binafsi watatakiwa kwenda NSSF.
  4. N

    UDART KWENDA DART?

    Shida ipo wapi mbona serekali imekaa kimya haitoi tamko lolote kuhusu huu mradi maana tunapata tabu kuna shida gani katika hili?
  5. N

    Maoni Ushauri na Mapendekezo kwa mabasi ya mwendo kasi (DART): Nini changamoto, nini umefurahia?

    Kuna nini kinacho endelea sasa ktk dart maana naona jina limebadilika kutoka udart kwenda dart?
  6. N

    Nahitaji Hydrolic system pamoja na pump

    Naomba msaada kwayoyote anaejua nitapata wapi hivi vitu Double acting hydrolic cylinder Double acting hydrolic pump
  7. N

    OBD Diagnosis 101

    Kama nataka kununua ya kusoma gari za aina nyingi ipi ni nzuri
  8. N

    OBD Diagnosis 101

    Naomba kuuliza je nikitaka kununua hicho kifaa ni aina gani nzuri kupita nyengine?
  9. N

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Survey kasha pita shida analazimisha tulipie na extension ya laini kutoka waya mbili kuwa 4 kwa madai kwamba ya low voltage na nguzo ni nyingi mno za extension ni km 10 ukijumlisha na zetu 5 ni 15 na hii yote baada ya kugoma kump a chochote kitu na cha kushangaza zaidi kuna mwenzetu kaenda...
  10. N

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari ndugu? Mita ikiwa haionyeshi kioo vzr inaweza kubadilishwa na vipi utaratibu wake wakubadilisha hiyo meter ? Kuna gharama yyt? Na inachukua muda gani mpaka kubadilishiwa?
  11. N

    Kusafiri kwa kutumia Pikipiki boxer BM X150 kutoka Dar-Morogoro

    Shukran sana wadau kwa majibu mazuri pikipiki ni mpya na nitaamsha nayo kwa kwenda mbele!!
  12. N

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nguzo zikiwa 5 njia moja bei yake ni sh ngapi?
  13. N

    Kusafiri kwa kutumia Pikipiki boxer BM X150 kutoka Dar-Morogoro

    Inaweza kusafiri Dar mpaka Moro na inatumia lita ngapi za mafuta?
  14. N

    Vilainisha vya viungo katika tendo

    Vp hayana mazara.
Back
Top Bottom