Biblia haikuandikwa kwa kiswahili wakati Yesu alipoongea hayo..aliongea kiaramaik..waliotafsiri biblia kwenda kirumi na baadae kiswahili ndio walioweka maneno yaliyorahisi kueleweka kwa jamii wanayoitafsiria. Yesu alitoka na kurudi mbinguni na sio peponi.
Katika hali hii..ninakubaliana na hoja ya Mawaziri wasitokane na wabunge..maana kikwete ameshindwa kupata uwanja mpana wa uteuzi maana hao ndo walioko bungeni..wataalamu wako mtaani na maofisini
Wewe nimeelewa lengo la kuuliza swali hili...ni kujenga chama chako..ila umetumia mbinu ya kijinga sana.
1. Ni mgogoro gani mkubwa wa viongozi wa CDM?
2. Suala la kufukuza wasaliti wa chama linafanyika CDM tu?
3. Vyote ulivyovitaja umejikita kueleza kasoro zao ndogo amabazo haziathiri Watanzania...
Hivi mheshimiwa ameshauriwa na nani pale wizarani juu ya jambo hili? Nahisi alipewa muda mrefu wa kuongea kwenye huo uzinduzi wa tovuti, alipoishiwa yale aliyoandikiwa ndipo alipoibuka na hili. Hii si mara ya kwanza kwa yeye kuongea jambo jipya la kiwizara na baadae kudhihirika kuwa lilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.