Nasikia Madam B, Paloma, Kipaji Halisi, Mentor, Bujibuji, KakaKiiza tangu tukutane pale Leo tupo hapa Pub mlikuwa mnamsumbua Mzee Mtambuzi kutaka kujua ID yangu.
Kwa kweli mimi nilikuwa ni msomaji tu, na nilikuwa sijajiunga JF, lakin i kuanzia sasa naomba munitambue rasmi kama mdau wa JF.
Ile...