Shekhe samahani nakusahihisha. Zimechangwa kwaajili ya Kampeni ya uchaguzi. Na sio kachangiwa mama Samia lahasha,tumechangia chama chetu. sio za maendeleo.
Hata Mwanga zimetembea bahasha ,bila kificho. Uchumibwa Mwanga kipandi hiki ni WA bilioni moja na milioni miatano. Hakika wasipozitunza Sasa wasubiri Tena miaka mitano ijayo.
Leo Manispaa wamekuja dukani kwangu kukagua Leseni ya biashara. Hiyo ninayo,lakini wakaniambia Sina Service Levy. Nauliza nini maana ya Service Levy? Inamaanisha nini ijapo nimeilipa.
Kaka hakika umenikumbusha,kitabu kimoja nilicho soma zama hizo. Uko sahihi. Umefikiaha ujumbe kwa umakini. Ila je wanajua kutafsiribjumbee? Tusuburi tuone
Inaonekana DAWASA hawana wataalam wa hizi kazi WATER LABORATORY TECHNICIANS hawana viwango na utaalamu wa kufanya hii kazi ya kusafisha na kutibu maji katika mitambo yao
Mheshimiwa waziri wa maji lianglie hili haya ndio matokeo ya ajira za kipeana matokeo yake wanahat1risha afya za wananchi
Inaonekana DAWASA hawana wataalam wa hizi kazi WATER LABORATORY TECHNICIANS hawana viwango na utaalamu wa kufanya hii kazi ya kusafisha na kutibu maji katika mitambo yao
Mheshimiwa waziri wa maji lianglie hili haya ndio matokeo ya ajira za kipeana matokeo yake wanahat1risha afya za wananchi
Ndugu zangu wa DAWASA tunapokea maji yenu lakini hayana ubora unaostahili ni hatari sana kwa afya za binadamu
1. Sidhani kama yanafanyiwa usafi (Cleanliness)
2.Yanatibiwa(Treatment)
3. Maji yenu Yana ugumu (Hardness of water)
4. Maji Yana harufu
5. Maji Yana kutu
6. Sisi wananchi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.