Kwa taarifa, simbu alitoka kushinda mbio za Majeshi zilizofanyika trh 23 nov 24 week moja mbele yaani leo kashindana valencia, sio rahisi kama mnavyofikiria asee, tena kakimbia kwa muda wake bora
Ndio maana nakwambia hujui hao akina simbu wanapatikanaje, kama wizara au TOC wanapeleka watu wao mbona hatuwaoni, akina simbu wamefuzu viwango kwa time iliyowekwa na kamati ya olympic ya dunia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.