Recent content by Namasangya

  1. N

    Zitto ndani ya kipindi cha Dakika 45 za ITV - Machi 16, 2015

    Zitto big up bro. Kaza buti kijana uwafungue macho vijana wenzako waelewe michezo michafu inayochezwa na wanasiasa
  2. N

    Dr. Mwakyembe ahusishwa na kupokea rushwa bandarini kupitisha mkataba wa kinyonyaji

    Unasubiri usainiwe halafu ufanyeje? Upinge kabla haujasainiwa ili uwekwe wazi tujue mapungufu yake na mazuri yake. Sasa wewe subiri watu wachukue bandari bdo uone utafanya nini.
  3. N

    Lundenga: Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu ni miss halali mwenye vigezo vyote

    Hahahaaaaaaaaaa Hakiyanani umenichekesha mno yaan.
  4. N

    Lundenga: Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu ni miss halali mwenye vigezo vyote

    Mh! Hapo kuna utata Lundenga anasema wagombea wote walileta vyeti original na Sitti anasema cheti chake kilipotea. Kipi ni kipi hapoooo?
  5. N

    Niki wa Pili arudi shule kusomea PHD

    Connection ni kwa chochote unachosomea sio sociology pekee, thats why hata hao lawyers bado wengine wanasota mtaani
  6. N

    Niki wa Pili arudi shule kusomea PHD

    Nijuavyo mimi wanasheria wengi wamesoma HKL na HGL Maana vigezo ni pamoja na kuwa umefaulu vizuri kiingereza na historia..... Halafu mtu anajinadi anavaa suti... Huko mashuleni wako wapondaji pia huita masomo ya kike halafu hayo ya kiume yanawamwaga na kujikuta wakimbilia sheria.... Eti COMBI...
  7. N

    Niki wa Pili arudi shule kusomea PHD

    Bongo ni Technique know who na sio Technique no what!!!! Upo hapooooo
  8. N

    Niki wa Pili arudi shule kusomea PHD

    Hahhhaaaaaaaaaaaaaa nicheke nipate afya miyeeeeeee Kazi siku hizi bongo sio umesomea nini ni unamjua nani. Rushwaaaaaaaa. Shikamoo Tziiiiiiii
  9. N

    Niki wa Pili arudi shule kusomea PHD

    WORDS!........ Ila ya Nikki inakukata maini?
  10. N

    Niki wa Pili arudi shule kusomea PHD

    Wana jf jumapili njema. Leo nataka kwenda kuabudu pale Tanganyika packers anayepajua anielekeze jinsi ya kufika n
  11. N

    Niki wa Pili arudi shule kusomea PHD

    Unayameza maneno ya kinywa chako mwenyewe.
  12. N

    Niki wa Pili arudi shule kusomea PHD

    Unajua kusoma bongo ni sheeeeedddaah. Kimtu kikisomea kitu fulani kinawadis wenzake waiosomea kotu kingine. Kuliwekwa kozi mbali mbali kwa mantiki kabsaaaa. Hebu fikiria leo hii Tz kungekuwa na masomo ya uhasibu tuuuu vyuo vyote hali ingekuwaje? Tafakari kabla hujasema. Huo mtazamo wa...
Back
Top Bottom