Unasubiri usainiwe halafu ufanyeje? Upinge kabla haujasainiwa ili uwekwe wazi tujue mapungufu yake na mazuri yake. Sasa wewe subiri watu wachukue bandari bdo uone utafanya nini.
Nijuavyo mimi wanasheria wengi wamesoma HKL na HGL
Maana vigezo ni pamoja na kuwa umefaulu vizuri kiingereza na historia..... Halafu mtu anajinadi anavaa suti... Huko mashuleni wako wapondaji pia huita masomo ya kike halafu hayo ya kiume yanawamwaga na kujikuta wakimbilia sheria.... Eti COMBI...
Unajua kusoma bongo ni sheeeeedddaah. Kimtu kikisomea kitu fulani kinawadis wenzake waiosomea kotu kingine. Kuliwekwa kozi mbali mbali kwa mantiki kabsaaaa. Hebu fikiria leo hii Tz kungekuwa na masomo ya uhasibu tuuuu vyuo vyote hali ingekuwaje? Tafakari kabla hujasema. Huo mtazamo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.