Mbona Ajibu ni fundi kuliko hata kichuya wenu anayeanza kikosi cha kwanza thimba, mpaka msemaji wenu manara anashangaa kwanini Ajibu haitwi timu ya taifa ?
Dhahiri shahiri serikali Leo itaingia hasara ya kununua vitu vingine uwanja wa taifa, mikia fc lazima watang'oa Vito kama kawaida yao pale makambo na tambwe watakavyo Fanya yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.