Inabaki ivo ivoo ukishapangia hayo maneno ya no approved allocation yanatoka na kama hutapata yanabaki ivo ivo siku zotee ...we kama ni continue na umeomba mkopo kupata uhakika subr batch ya continue ipooo special nasema coz na evidence asilimia 10000
Jaman nna swali et kwa mwanafunzi anae endelea na masomo mwaka wa pili akiwa ana sap ya somo moja anaweza pangiwa mkopo endapo kaomba na alkosa mwaka wa kwanza?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.