Ishu ya corona na jinsi alivyoshughulikia ishu ya Floyd vimemshusha sana. Saivi hata wale top military people na wenzake wa Republican wamekuwa wakimsuta hadharani. Yupo katika sehemu mbaya kisiasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa nachukulia poa hii ishu ya Floyd na ishu nzima ya ubaguzi wa rangi lakini baada ya kuangalia video jana nimeogopa sana. Mitaa nayoishi ni ya wazungu watupu mpaka nimeanza kuwa na hofu kutembea mwenyewe barabarani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora niuawe na polisi wa marekani mzungu maana najua walau watu wataruhusiwa kuandamana kunipigania na hatua zitachukuliwa dhidi ya mtesi wangu kuliko kuuliwa na polisi mtanzania mwenzangu na bado serikali yangu isiwafanye chochote watesi wangu na watu wasiruhusiwe hata kupaza sauti zao...
Tanzania wanajeshi wangeingia barabarani wangeua raia. Kwanza hata raia kuingia barabarani Tanzania isingewezekana. Mpaka leo hatujui nani alimuua Akwilina.
Kitendo cha askari waliohusika kuchukuliwa hatua na raia kuruhusiwa kuandamana hiyo ndo democrasia na uhuru wa raia na kuheshimu haki za...
Unafiki uko wapi sasa?? Hujasikia huyo polisi kashafukuzwa kazi na kashakamatwa tayari? Wazungu kwa weusi wote wameandamana vila shida kupinga Kitendo alichokifanya polisi. Huoni kuwa marekani iko mbali katika kulinda haki za binadamu? na Tanzania je? polisi inaua raia na serikali haifanyi...
Watu mnavyoifatilia marekani hadi inashangaza. Nimeamini marekani ni celebrity country
Orodha ya Mataifa matano makubwa duniani;
1. Marekani
2. Marekani
3. Marekani
4. Marekani
5. Marekani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli nyani haoni kundule. Hivi police Tanzania wanavyoua na kuteka raia kila siku na hawafanywi chochote hamuoni, mnaona na kukosoa ya marekani? Akwilina alivyouawa polisi yule alifanywa nini? Si bora hayo ya wazungu kuliko nyie mnayofanyiana wenyewe kwa wenyewe?
Kina Ben saanane wamepotea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.