Mkuu HV tukijaribu kuchukua sheria mkononi,tukaunda kikundi cha sungusungu,tukakisajili na kukitambulisha Kwa serikali,...hatuwez kutandika viboko hawa watu pa1 na wateja wao mwanzo mwisho Kwa mwez mzima patrol SAA 2 ucku hadi SAA kumi alfajir?
Bora ww umenielewa mkuu,ila kuna cku majuz kati nilipandwa na ugwadu kidogo niamke nikawarudie sema tu ilikuwa usiku sana,wakati mwingine ni bora kutokujua kitu maana ukishajua unaanza kutamani kwenda.
Mkuu promo tena?,ili iweje sasa?,...unafikiri nilikuwa najua?....nakuapia ckuwa najua chochote ila kiasi flani walikaribia kunipata aisee...jina lisikutie shaka mkuu maana huwa balamba mchuzi woote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.