Wakati mwingine nahisi halijui hilo. Hazima kumekauka TRA hawakusanyi kodi serilali inadaiwa kupita kiasi. Najiuliza magufuli atatekeleza ahadi zake kupitia fedha zip
Naona ziara ya Mh Rais kule wizara ya fedha imekuwa topic. Ila mi nachojiuliza. Kweli kabisa Rais anapokwenda wizara ambayo ndyo moyo wanchi anachkutana nacho nachakufanyia kaz nimahudhurio.
Inamana hakuna taarifa sahahihi toka management ya wizara juu yawatumishi nautendaji kazi wao.
Inamana...
Hiyo Helicopta juzi ilipita kwenye mkutano wa chadema hapa Njombe nakufanya vurugu zilizosababisha kuongezwa kwa dk 15 za mkutano kwa ajili yakufidia mud a.
Baada ya dk chache ilikwenda kutua Njombe airport nikaona imefunguliwa ikitengenezwa I hope ilikuwa mbovu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.