Recent content by nakanga omary

  1. N

    Wabunge wa Upinzani Watoka Bungeni tena, ni baada ya kunyimwa nafasi ya Muongozo

    Hivi mwazani ccm kama mukiindelea natabia hizi za kipuuzi sidhani kama mtafika
  2. N

    Hata mimi siasa za CHADEMA naziweza

    Ccm hawana ukanda?
  3. N

    Vyuo Vikuu visivyo na sifa kufutwa!

    Kweli tutumbue majibu nilifaulu kwa haki alafu anakuja mwingine hana sifa huwa naumia
  4. N

    Vyuo Vikuu visivyo na sifa kufutwa!

    Tumbua jipu ndalichako hata bodi kuna jipu
  5. N

    CHADEMA imekosa dira na mwelekeo

    ACT kuwa chama cha upinzani sahau ila labda waungane na magamba 2020 coz gamba linatoka likishatoka wataunda umojawao utaunganisha vyama vya ACT.CCM.ADC. ambapo 2025 zito atagombea ktk umoja wao na AMad rashid atakua mgombea mweza january nape na mwigulu watakuja UKAWA alafu nape atasafisha...
  6. N

    Zitto ‘nje’ PAC, Selasini atajwa kuchukua nafasi

    Sisi tunataka MTU atakayeweza kutumbua jipu kwa JPM manake JPM anapaswa atumbuliwe jipu kumbuka mzee wa tezi dume aliliacha jipu sugu la katiba mpya na JPM anafanya kama hajui na haliongelei na pia JPM na chama chake walihaidi M 50 kila kijiji leo hazipo wala hatuzisikii pia JPM alihahidi...
  7. N

    Hamad Rashid, Said Miraji wang'olewa ADC, Bodi yashika usukani

    Hakuna namna kuwa na wasaliti manake tumechoka sasa hakuna namna laana ya lowasa ina watafuna manake waligoma ktk kuleta mabadiliko
  8. N

    Hofu ya kufilisika yamtanda Lowassa, adaiwa kushindwa kulipia kodi ya Pango PPF Tower

    Mbona hata wewe uliyetuma post hii umefilisika mawazo
Back
Top Bottom