ACT kuwa chama cha upinzani sahau ila labda waungane na magamba 2020 coz gamba linatoka likishatoka wataunda umojawao utaunganisha vyama vya ACT.CCM.ADC. ambapo 2025 zito atagombea ktk umoja wao na AMad rashid atakua mgombea mweza january nape na mwigulu watakuja UKAWA alafu nape atasafisha...
Sisi tunataka MTU atakayeweza kutumbua jipu kwa JPM manake JPM anapaswa atumbuliwe jipu kumbuka mzee wa tezi dume aliliacha jipu sugu la katiba mpya na JPM anafanya kama hajui na haliongelei na pia JPM na chama chake walihaidi M 50 kila kijiji leo hazipo wala hatuzisikii pia JPM alihahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.