Recent content by najikuna

  1. N

    Padre Silvio Mnyifuna anasema kuhusu Siasa na Dini

    Una ushahidi? Au domo lako limeamua kupayuka hivo? Akae kimya kwa manufaa ya nani? Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
  2. N

    Kuna mpasuko mkubwa kwa wale watu wetu tunaowategemea

    Mchelea mwana kulia hulia yeye....wakati mtakapojivunia shwari msiyo na uhakika shari itakuwa imeingia
  3. N

    UPDATES: Madhara ya mvua inayoendelea kunyesha Tanzania katika picha

    Hata angetabiri ukweli, mngechukua hatua za kuhama? Acheni visingizio
  4. N

    Hivi kwanini polisi wa Tanzania huwa wana lugha chafu?

    Kiukweli, nashauri wanapokuwa kozini ni vema wakafundishwa somo linahusiana na haki za binadamu na misingi yake very strongly Sent using Jamii Forums mobile app
  5. N

    ‪Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akamatwa na Polisi kwa madai ya kuzidisha muda wa mkutano‬

    Kwani dakika 7 Lema alizuia dunia isizunguke au? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. N

    Wapingaji uwepo wa Mungu wameongoka na kukengeuka msimamo wao?

    We kweli mburula, unamlinganisha Mungu na kazi za kijinga za kuvumbua kisu? Jiulize kwanza kati ya kuku na yai kipi kilitangulia kuwepo duniani ndipo ulete uharo wako hapa, no exisistance of God, ridiculous! Sent using Jamii Forums mobile app
  7. N

    TANZIA: Waziri Mwakyembe afiwa na Mkewe Linah Mwakyembe

    Tutumie vichwa kufikiri na sio sehemu nyingine za mwili. Katika hali ya kawaida ukiwa na mgonjwa zaidi ya mwezi mzima hospital basi ndo tuseme shughuli nyingine zote zitastop? Na hizo huduma za matibabu utazilipaje? By the way hata ukishinda na kulala hapo every day wewe ndio daktari? Don't be...
  8. N

    Hii ndiyo St. Marys Mazinde juu iliyotoa Tz One Form Six

    Ada fees karoooo bei gani wakuu hiyo shule? Post sent using JamiiForums mobile app
  9. N

    Tetesi: Viongozi 84 wa CHADEMA wilaya ya Misungwi Mwanza wafunga ofisi na kuhamia CCM

    Hivi wanaotajwa na ccm kuwa ni mafisadi hasa ni akina nani? Post sent using JamiiForums mobile app
  10. N

    Tetesi: Viongozi 84 wa CHADEMA wilaya ya Misungwi Mwanza wafunga ofisi na kuhamia CCM

    Yaani hiyo ni kama kuwalipa watu fidia ili wahamie mahali fulani....hakuna cha ajabu Post sent using JamiiForums mobile app
  11. N

    CHADEMA wamdhalilisha Wema Sepetu

    Kwani alipokuja CCM alikabidhiwa kadi na nani? Ebu ficha ujinga wako huko
  12. N

    Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

    Yaani ni sawa na Simba kujikamuaaa kuruka kumkamata mnyama, na kujisifu kwa ujasiri kumbe mnyama mwenyewe alishajifia huko long time
  13. N

    Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

    Na wewe ni kapi kabisa, ulikuwepo kwenye tukio kuthibitisha hayo unayoyatapika hapa?
  14. N

    Zitto: Manji anakomolewa, sasa anyang'anywa hisa zake za Tigo na Serikali

    Hii ndo tabu ya kuchagua watu maskini kwenye nyadhifa kubwa, maana attitudes na mawazo yao ni ya kimaskini na kila anayeonekana tajiri basi mawazo yao ni kwamba kaiba. CCM tutawalaumu siku zote kwa kutuletea Bwana yule
Back
Top Bottom