Recent content by Najikubali

  1. N

    Kwa wale tunaotembea na waume za watu

    We ndo unatakiwa ukome coz umeshajua ana mke hata kama hakukwambia ila si umesha jua? Kwa hyo kaambali na mme wa watu ni sumu tena ukome kabisaaa.
  2. N

    Nimvumilie mume huyu au nimuache?

    Mama huyo mwanaume amesha kuwa Mariboro ya mavi isipo kunukia itakuelemea kuwa makini hakufai huyo toweka karibu nae anagonga nje huyo atakuletea maradhi bure. Mama'e hafai huyo.
  3. N

    Niko njia panda nahitaji msaada wa haraka sana

    Huyo ni ****** hana msimamo ktk mapenzi anatapa tapa ka Zombi. Temana nae ila km unampenda angalia moyo wako ila huyo ni ****.
  4. N

    Dada mtu kikwazo nifanyeje?

    Mh! Kwahyo we Domozege mpaka utongozewe? Usirudie tena kanunue cm mpe huyo kidet.
  5. N

    Gari la wolper kondom kibao

    Huyu anabiashara zake ndo mana anatembea bidhaa inayo mwingizia kula.
  6. N

    Ukiolewa bila bikra ujue mwenzio anakuchukulia ulikuwa malaya

    Mi sioni sababu ya wewe kutaka kuachana nae mana km alikuwaga hajatulia ni zamani na sasa ni mke wako ganga yajayo kwani sh ngapi? Afu unataka mwanao aishi maisha ya baba wa kambo? 2liza akili.
  7. N

    Je we ungefanya nini?

    Sasa na wewe kama sio mwaminifu why unataka mapenzi ya siri ungekuwa open hayo yasingetokea na unavyo fanya siri unampa nafasi ya kuchakachua kwingine sioni sababu ya kufanya siri km unampenda.
  8. N

    Mapapai

    wapi wewe acha hzo unajifanya unaponda kumbe we mwenyewe ndo mshangaaji wa kwanza zama hizi tofauti na za mababu zetu so najua we mwenyewe ni wale wale mnaovaa kata ***** je nanyie hayo ****** yenu mnamtega nani? Km vp 2potezeane.
  9. N

    Maskini wa Mungu mimi sijui nifanyeje!

    Dada ndoa sio ya kukurupukia usiwe na haraka kiasi hcho usipo angalia utaingia choo cha wazee tuliza akili, usichoke kuomba mungu You never know kakupangia kuolewa lini so hutakiwi kuwa na papara ndoa ni tamu na vile vile ni chungu usipokuwa makini. Kuwa makini.
  10. N

    Mke wangu habebeki...

    Kaka huyo mwanamke kesha kuwa maliboro ya mavi isipokuelemea ita kunikia soon temana nae faster.
Back
Top Bottom