Recent content by Naipuli

  1. Naipuli

    Wale mnaomiliki TV za flat screen piteni hapa muokoe tv zenu

    Nina TV (LG) imechora mstari mmoja katikati ya kioo cha TV (vertical line) na umekuwepo kwa takribani miaka miwili sasa. Haijawahi kupata ajali yoyote labda kuangushwa au kugongwa kwa namna yoyote. Tatizo kama hilo nimeliona kwa jirani yangu pia, yeye anatumia SAMSUNG. Yeye imechora mistari...
  2. Naipuli

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Barikiwa sana Mkuu, Kwa utekelezaji kama ulivyoshauri.
  3. Naipuli

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Naombeni mwongozo tafadhali, nahitaji kununua PC na nimekutana na hizi mbili tofauti, kwa kuzingatia ubora wa kila eneo, nichukue ipi;- 1. Dell Latitude 3420 Core i5 11th Generation HDD 1TB RAM 8GB DDR4 Processor 2.40GHz NON-TOUCHSCREEN Price: Around 800K 2. HP ELITEBOOK 840 G5 Core i7 8th...
  4. Naipuli

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Naomba kufahamu, Hivi inawezekana kununua hiyo chinese version kisha nikaiflash global version? Ahsante!
  5. Naipuli

    Naomba kujuzwa Tablet bora kwa bajeti ya laki saba (tsh.700k/=)

    Nakushukuru sana Mkuu Chief-Mkwawa na wadau wengine wote kwa miongozo na ushauri wenu, hakika mnaufanya ukumbi huu kuwa kimbilio la wengi. Nilifanikiwa kupata GALAXY TAB A7 (2020) 64GB. Kwasasa shughuli zangu zinakwenda vzr kabisa. Mwenyezi Mungu awabariki sana.
  6. Naipuli

    Android updates in SM-G986U Samsung Galaxy S20+ 5g

    SM-G986U, hii ni version ya USA (Locked), SM-G986U1 USA (UNLOCKED) SM-G986N (KOREA) SM-G986B (GLOBAL) Mara nyingi hizi USA Version kama unataka kufanya updates na upo nje ya USA huwa inakubali kwa VPN kisha unachagua server ya USA. Sasa kama kwako imekataa basi alternative inakuwa kufanya...
  7. Naipuli

    Android updates in SM-G986U Samsung Galaxy S20+ 5g

    Mkuu, Hii inaonekana ni version ambayo ipo Locked kwaajili ya USA. Ambacho unaweza kujaribu kufanya ili kuona kama unaweza kupata updates ni; 1. Download VPN, 2. Chagua server ya USA, 3. Fanya update ya simu yako. Kisha lete mrejesho hapa kama utakuwa umefanikiwa. Ahsante!
  8. Naipuli

    Naomba kujuzwa Tablet bora kwa bajeti ya laki saba (tsh.700k/=)

    Nashukuru sana Chief-Mkwawa , Mwenyezi Mungu akubariki sana. Kwenye hii option ya TAB A7 inaonekana hapa Bongo wengi wanazo zenye storage ya 32GB badala ya 64GB. Labda kama kuna sehemu naweza kupata yenye 64 GB wadau naomba mnijuze tafadhali.
  9. Naipuli

    Naomba kujuzwa Tablet bora kwa bajeti ya laki saba (tsh.700k/=)

    Habarini za Weekend Waungwana Wenzangu. Naomba msaada wenu, ni aina gani na ni wapi naweza kupata TABLET kwa Shilingi Laki Saba hapa Bongo. Sifa zake iwe ni; Na nyinginezo zote muhimu. Isiwe inatumia MEDIATEK. Kama kwa sifa hizo na budget hiyo nitalazimika kuagiza kutoka ughaibuni, NAOMBA...
  10. Naipuli

    Naombeni ujanja wa kutambua simu fake

    Ukifanya verification kwa kutumia link yao inakupa majibu sahihi zaidi kuliko SMS. https://www.tcra.go.tz/api/imei-code-verification
  11. Naipuli

    Naomba ushauri: Nichukue ipi kati ya Redmi Xiaomi na Samsung?

    Sina kumbukumbu mzuri sana na settings za Redmi tangu nimeacha kutumia simu yangu ya Redmi note 8. Ila kwenye settings kuna sehemu ambayo unaweza ku change Location/Country as default. kwa vyovyote utakuta wameiset India kama ndo default kwa simu yako, badilisha hiyo, weka Tanzania au Kenya kama...
  12. Naipuli

    Naomba ushauri: Nichukue ipi kati ya Redmi Xiaomi na Samsung?

    Ahsante sana. Ubarikiwe sana Mkuu.
  13. Naipuli

    Fahamu jinsi ya kuchagua TV nzuri itakayokufaa kabla hujanunua

    Vp kuhusu TOSHIBA brand? 40" LED FHD 1080x1920
Back
Top Bottom