Naipuli
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 266
- 109
Habarini za Weekend Waungwana Wenzangu.
Naomba msaada wenu, ni aina gani na ni wapi naweza kupata TABLET kwa Shilingi Laki Saba hapa Bongo.
Sifa zake iwe ni;
Isiwe inatumia MEDIATEK.
Kama kwa sifa hizo na budget hiyo nitalazimika kuagiza kutoka ughaibuni, NAOMBA MWONGOZO PIA.
Ahsanteni sana.
CC: Chief-Mkwawa
Naomba msaada wenu, ni aina gani na ni wapi naweza kupata TABLET kwa Shilingi Laki Saba hapa Bongo.
Sifa zake iwe ni;
Na nyinginezo zote muhimu.Mpya
ANDROID
RAM kuanzia 4 GB
ROM kuanzia 64 GB
DISPLAY 9" - 11"
Inatumia SIMCARD (LTE/5G)
Latest Android versions
Isiwe inatumia MEDIATEK.
Kama kwa sifa hizo na budget hiyo nitalazimika kuagiza kutoka ughaibuni, NAOMBA MWONGOZO PIA.
Ahsanteni sana.
CC: Chief-Mkwawa