Sikubaliani na kauli ya kusema kwamba wasichana wa jf hakuna wife material.humu watu wanajiachia coz they are anonymous and they are trying to release stress.lakini wengi wao humu hawafanyi au hawapractise wanachoongea jf.mfano mzuri ni the so called MISS CHAGA!the way she comments in jf is...
Miaka mitatu iliyopita nilikuwa kwenye relationship na msichana mmoja X,ambaye yeye alikuwa akiniaga anaenda sehem na rafiki zake basi mimi kutokana kutokana na mwenendo wake nilikuwa nikimwamini hivyo basi akiniambia yupo sehem na rafiki zake basi nilikuwa sioni umuhimu WA kumsumbua kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.