Recent content by nafwa

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mwenye dawa ya Kisukari ambaye yupo tayari kutuma sampo Ujerumani tuwasiliane

    Kupata dawa ya kuponyesha kisukari kama waganga kienyeji wanavyo dai,ni Sawa na kuamini kuwa mguu au mkono uliolemaa unatibiwa na ulemavu kutoka,Jambo ambalo haliwezekani.kongosho likilemaa,kazi ya kuzalisha insulin inapungua ama inaisha,huwezi kuponyesha.Lakini matapeli wanaendelea kusumbua watu
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kiwango cha ujasiri na umakini wa Tundu Lissu mahakamani kinashuka kadiri anavyoitwa mbele ya mahakama kujibu yanayomkabili

    Lisu Yuko makini na anajua anchokifanya.Na pia usimwone anajitetea pale ukadhani Yuko peke Yake.Ni lazima ana wanasheria nguli nyuma Yake wanaomsaidia katika moja na mbili.Hii ni kesi itakayoonesha mahakama kama ni muhimili au ni sehemu ya muhimili
  3. N

    JamiiForums Tanzania Wakili Tundu Lisu ni mahiri wa kukariri na kuzieleza sheria mbele ya wasio jua sheria, lakini ni mnyonge mno mbele ya mahakama na wanao zijua sheria

    Kubeza uwezo wa Lisu wa kujieleza,kujiamini na jinsi anavyojenga hoja za kisheria pale mahakamani,kubeza hayo yote,basi hilo nalo ni tatizo.
  4. N

    JamiiForums Tanzania Natafuta Fundi wa Umeme wa Magari Mbeya

    Kwa wenyeji wa Mbeya, tafadhali naomba kujua fundi mzuri wa umeme wa Magari ili anifanyie matengenezo. Natanguliza shukrani.
  5. N

    JamiiForums Tanzania KERO Shule kutofungwa wakati wa likizo ni udhaifu wa Kamishna wa Elimu na watendaji wake

    Hii haijakaa Sawa kwa elimu yetu Tanzania.Inakuweje shule zimefunga kwa mujibu wa ratiba na Sera ya elimu lakini wanafunzi kila siku wapo shule? Kama hawakuwaelewa walimu siku zote walipokuwepo shuleni,kitu gani cha ziada kitafanya waelewe ndani ya huu mwezi wa likizo?
Back
Top Bottom