Kwann ww unaesema yupo ndio usilete uthibitisho mfano mm nikisema kwenye kwapa langu kuna dhahabu ww ukakataa na kusema hamna, ni Nani Kati yetu ana wajibu wa kuthibitisha Kati ya mm nnayesema zipo au ww unaesema hamna?.
Shida ya mleta mada inaitwa Presbyopia kwa kitaalamu, ni kwamba binadamu tuna lensi ndani ya jicho ambayo kazi yake ni kufocus image ya kitu katika umbali tofauti sasa jinsi umri unavyokwenda lensi hupoteza uwezo wake kwasababu inakakamaa na hvyo mtu hushindwa kufocus image za karibu hasa fine...
Nilikuwa na uwezo kujibu swali lako kwasababu nimekaa darasani miaka 10 kusoma jicho ila kwa bahati mbaya huhitaji majibu ya hospitali ok all the best katika safari yako ya kufunga na kusafisha macho na mkojo😂
Hutaki
Hongera sana mheshimiwa kwa kufuatilia afya ya wanao kwa ukaribu na umakini ni wachache sana hufanya hivyo.
Turudi kwenye mada kujua kama mtoto wako afya yake ya macho iko vizuri chukua tochi hata ya simu mwanga uwe unaonekana vzuri then mmulike usoni anza kupeleka tochi uelekeo tofauti...
Mpeleke CCBRT,huenda ana rod dystrophy ambayo hupelekea rods(husaidia kuona gizani) kuisha hivyo mtu kutoona vzuri usiku.
Lkn pia kama night blindness inayosababishwa na ukosefu wa vitamin A mtapata majibu.
Kila la heri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.