Recent content by nadiegirlie

  1. nadiegirlie

    Wanaume mliopata wake wa maana wa kuoa, mliwezaje? Au mlijitoa tu ufahamu mkaoa

    Jaribu kuwa na mahusiano na yule ambayr sio type yako ila kumbuka hayana FORMULAR
  2. nadiegirlie

    Nini kinasababisha Mume/Mke apende tena huku akiwa ndani ya Ndoa?

    Watu hawaoi wala kuolewa sababu ya UPENDO ila wanafanya hivyo sababu muda umefika na wanakuwa EXPECTED kuoa au kuolewa ndio maana ndoa nyingi chungu siku hizi
  3. nadiegirlie

    Nasema hivi, Mume anauma!

    Ni kweli mume anauma, ila ulichofanya hapo ni kutoa tunda mzizi ukauacha kama ulivyo hilo tunda litaota tena
  4. nadiegirlie

    Girls at the age of 18-24 years always attract serious men who are fully ready to marry

    A 26 years old woman can easily pass for a 22 years woman, also a 22 years old woman can easily pass for a 28 years old nadhani mida imebadilika unless when you start dating and she tells you she is 28 it is a turn off for you even though she looks fresh for her age?
  5. nadiegirlie

    Jinsi ya kumfanya mkeo afike mshindo wakati tendo la ndoa

    Kuna huyo mmoja tuligombana week mbili hatuongei akanipigia simu tuongee najua tunaenda kusuluhisha nafika ananiambia oooh nataka faragha sijui nini yaani nilivyotoka pale hakuamini[emoji18][emoji18]
  6. nadiegirlie

    Je, kumuacha mtu umpendaye ni rahisi?

    Najua ni cliche ila muda ni jibu tosha yaani kwangu ilichukua kitambo mpaka kusahau kabisa yaani ulipita karibia mwaka ndipo nikaanza kuona kawaida tu ila hapo katikati ilikuwa haipiti siku sijamuwaza bado ile kulia hapa na pale ukikumbuka kitu mlifanya pamoja
  7. nadiegirlie

    Mtu mwenye akili timamu hawezi kunyonya sehemu za siri. Ni Punguani pekee ndiye anaweza kufanya hivyo

    Wengine tunafanya kwa ajili yetu wala sio kwa ajili ya tunayemfanyia.
  8. nadiegirlie

    Wanaume wa Dar es Salaam hawajitambui

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  9. nadiegirlie

    Wanaume wa Dar es Salaam hawajitambui

    nilimpa kistaarabu namba yangu na hata alipokuja mbali sana nilimwambia acha yaani you are too forward, unaniambia unanipenda unataka nikujibu nini na si feel chochote kwako ndio hivyo nafika home eti umefika mke wangu looooh nikablock maana kunisikiliza hakutaka kabisa
  10. nadiegirlie

    Wanaume wa Dar es Salaam hawajitambui

    Nakubaliana na wewe asilimia zote
  11. nadiegirlie

    Wanaume wa Dar es Salaam hawajitambui

    Kuna kupenda na kutamani mkuu
  12. nadiegirlie

    Wanaume wa Dar es Salaam hawajitambui

    Hiki kipimo tunakijua sisi wanawake[emoji23][emoji23][emoji23]
  13. nadiegirlie

    Wanaume wa Dar es Salaam hawajitambui

    Kwa upande wangu mimi yule mtu hakuwa rafu ila sikuona chemistry yoyote kati yetu ila kitendo cha mtu mmekutana mara ya kwanza tena hata saa moja alijapita anaanza kusema nakupenda sijui nataka kukuoa mara mke wangu huu ni uongo wa wazi kabisa
  14. nadiegirlie

    Wanaume wa Dar es Salaam hawajitambui

    Ngoja nipime kwanza nitakuambia mkuu
Back
Top Bottom