Watu hawaoi wala kuolewa sababu ya UPENDO ila wanafanya hivyo sababu muda umefika na wanakuwa EXPECTED kuoa au kuolewa ndio maana ndoa nyingi chungu siku hizi
A 26 years old woman can easily pass for a 22 years woman, also a 22 years old woman can easily pass for a 28 years old nadhani mida imebadilika unless when you start dating and she tells you she is 28 it is a turn off for you even though she looks fresh for her age?
Kuna huyo mmoja tuligombana week mbili hatuongei akanipigia simu tuongee najua tunaenda kusuluhisha nafika ananiambia oooh nataka faragha sijui nini yaani nilivyotoka pale hakuamini[emoji18][emoji18]
Najua ni cliche ila muda ni jibu tosha yaani kwangu ilichukua kitambo mpaka kusahau kabisa yaani ulipita karibia mwaka ndipo nikaanza kuona kawaida tu ila hapo katikati ilikuwa haipiti siku sijamuwaza bado ile kulia hapa na pale ukikumbuka kitu mlifanya pamoja
nilimpa kistaarabu namba yangu na hata alipokuja mbali sana nilimwambia acha yaani you are too forward, unaniambia unanipenda unataka nikujibu nini na si feel chochote kwako ndio hivyo nafika home eti umefika mke wangu looooh nikablock maana kunisikiliza hakutaka kabisa
Kwa upande wangu mimi yule mtu hakuwa rafu ila sikuona chemistry yoyote kati yetu ila kitendo cha mtu mmekutana mara ya kwanza tena hata saa moja alijapita anaanza kusema nakupenda sijui nataka kukuoa mara mke wangu huu ni uongo wa wazi kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.