afya haijaribiwi tusiache tukapoteza ndugu zetu wengi ndio tukumbuke chanjo
bado elimu juu ya chanjo ni ndogo mno kwa wananch.mwenda zake yupo mioyoni mwa wengi ili nalo ni tatizo lazima iwepo namna mpya wananchi watambue uviko 19 upo na ni hatari
hawa viongozi ndio walipaswa wabakie na msima ule ili mama aone hana umuhimu wa kwenda na wangine ambao wangekua na sababu za msingi juu ya huu ugonjwa
mpaka sasa hakuna anae waamini
fuatilia page za rafiki zake uko insta kwa page ya kingi wa mitandao ya kijamii kila siku ana habari lakin bado kua udambwi anaukosa habar zinaishi kwa marafiki zake
kweli kabisa shida ipo hata haihitaji akil kabisa kuwatambua na kuwaamini hawa viongozi wa afya wote walio wahi kua na mlengo ule bas wakae pembeni waje uwapya hapo kidogo tunaweza waamini wanasema wanasiasa sio wa kuwaamini lakin hapa naona sio siasa ni taaluma nimr na wizara ziwe mpya watakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.