Tuna changamoto ya manabii, nashauri kikao cha manabii wote tuitwe, upembuzi ufanyike, nabii mwongo afungiwe kabla ya kanisa zima kutukanwa.
Mtu kalewa pombe anasema Dar itaangamizwa kwa mafuriko, hayajatokea anaangaliwa tu, Mara sijui mwezi flani kutakuwa na tukio kubwa, miezi inapita na yeye...