Recent content by Nabii koko

  1. Nabii koko

    JamiiForums Tanzania SoC02 Sio kweli, ndoa sio tamu😎

    Unonakana unaijua ndoa vizuri, kazi nzuri.
  2. Nabii koko

    JamiiForums Tanzania SoC02 Uendelezaji wa maeneo ya wazi Tanzania

    Kwangu Mimi nadhani kuwepo kwa maeneo wazi, ni muhimu yakabaki hivyo kwa kuwa mengine yanaweza kutumiwa kwa viwanja vya michezo, au kuja kuanzisha shughuli fulani za kijamii Kama vile shule na hospitali. Naamini hayawezi kukosa matumizi Milele. Kumbuka idadi ya watu pia inaongezeka kwa kasi...
  3. Nabii koko

    JamiiForums Tanzania SoC02 Tufahamu wabantu na Lugha zao(Lugha za kibantu)

    Umechambua vizuri, ila makala yako ni ya elimu, uchumi, utawala, kilimo au afya? Ni swali tyu!
  4. Nabii koko

    JamiiForums Tanzania SoC02 Prof. George Wajackoyah na sera yake dhidi ya bangi

    Halalisheni TU, ila mi sipo!
  5. Nabii koko

    JamiiForums Tanzania SoC02 Bangi iwekwe huru

    Kwa hiyo wewe unakula mmea?
  6. Nabii koko

    JamiiForums Tanzania SoC02 Bangi iwekwe huru

    Wewe pamoja na wanaharakati wanaotetea mapenzi ya jinsia moja Kuna tofauti gani?
  7. Nabii koko

    JamiiForums Tanzania SoC02 Niliolewa Bikira ingawa nilianza kuuza Bar tangu nikiwa na miaka 14

    Kwa hiyo Ujumbe... Tusichague kazi?
  8. Nabii koko

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kipaji ni nyota njema ambayo huonekana asubuhi

    Kweli, wenye vipaji NDIO wanaokula mema ya nchi!
  9. Nabii koko

    JamiiForums Tanzania SoC02 Unan'tega?

    Nikitazama sura yako, mwenendo wako, matendo na mavazi yako, nashindwa kuelewa, hivi unanitega? Huo mwendo sasa ndio kabisa unanichanganya. Ama umejua kwamba nami nategeka? Hiyo mikao yako ya ajabu ajabu umegundua kuwa unaniua ndio maana huachi kunichokoza? Ahaaa, kumbe umegundua hapo ndipo...
  10. Nabii koko

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kwanini mafanikio kupitia elimu yanaonekana kama mvua inyeshayo jangwani?

    Umetunenea wengi, umekula kura yangu bure
  11. Nabii koko

    JamiiForums Tanzania SoC02 Tugeukie nishati mbadala

    Leo hii hapa nchini ukiuliza: kwenu mnatumia nishati gani katika kupika, Asilimia kubwa utajibiwa haraka: KUNI au MKAA. Kwanini wakati vipo vyanzo vingine? Je, wanatumia sana kuni na mkaa kwa sababu Ndio chaguo lao pendwa? La hasha! Matumizi haya mengi yanatokana na maisha ya Watanzania kuwa...
  12. Nabii koko

    JamiiForums Tanzania SoC02 Hili la tozo litazamwe vizuri

    ILI NCHI IENDELEE, INAHITAJI MAPATO. Pato la taifa linachangiwa na vyanzo kama vile viwanda, kilimo, madini, uvuvi, usafirishaji, utalii, kodi, ushuru, na tozo mbalimbali. Kwa Sasa hebu yuzungumzie hizo tozo. Tangu kale Hapa Tanzania na nchi nyingine kumekuwa na Sheria ya ulipaji kodi, tozo na...
  13. Nabii koko

    JamiiForums Tanzania SoC02 Nilivyobadili Jinsia ili Nipate Ajira

    Kuna mambo mengine mtu unaweza kufanya hapa duniani halafu baadaye ukigeuka ilikotoka ukajiuliza, hivi mi mimi kweli? Unaweza kutenda kitu ukiwa unajua kabisa kwamba umeikosea nafsi yako, umewakosea binadamu wenzio na Muumba wako, lakini ukasema ache iwe! Kwanini haya yote yanatokea? Mazingira...
Back
Top Bottom