Recent content by N-Tuntufye

  1. N

    JamiiForums Tanzania Kuna mwalimu wa Sekondari aliacha Kazi, sasa anaishi kama mwehu

    Usiseme usijaribu Kuacha Acha kazi na Mipango.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Riwaya: Dhahama

    Kazi nzurii
  3. N

    JamiiForums Tanzania Hii tabia ya kukarabati barabara muda mrefu ni kero sana

    Kero sana huku Mbeya wilaya ya Rungwe Barabara Kutoka Suma kupitia Mpata kuelekea Kanyelele kwenda Rwangwa Kifusi kimemwagwa toka Mwezi Wa Pili Hadi Leo hakijasambazwa....
  4. N

    JamiiForums Tanzania Wasomi mnapoamua kujiajiri onesheni utofauti

    Habari Wa Jamii, Naomba Tutoa Rai Kwa Wasomi Wetu Wale Walioamua Kujiajiri Kwa Kupenda Au Wale Wenzangu Na Mimi Kwa Sababu Ya Chamgamoto Ya Ajira. Tunapofanya Biashara Ndogo Au Kubwa Tujaribu Kuonyesha Utofauti Kwanza. Huduma kwa wateja Ziwe Nzuri Sitegemei Kuona Msosi Analeta Stresi za Ajira...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Nimepewa onyo na wafanyabiashara wenzangu nisipopandisha bei watakatisha uhai wangu

    Toa Tangazo, Ripoti Polisi, Pandisha Bei Kutoka 8000-11000 au Uza 12000 Toa Nyongeza Kilo Moja Kwa Mteja Anayenunua Kuanzia kilo 5 Tafuta Njia Nzuri Ya Kubakiza Wateja Kwa Mfano Toa Zawadi ya limao,Vifungashio Na Fanya derivery kwa wateja wakubwa.
Back
Top Bottom