Matamani nikutukame tusi kubwa lkn ivi sheria za uchaguzi zingefatwa maandamano yangetokea wapi watanzania tunajua adui mkubwa Wa nchi hii ******** na wajinga Wa ccm. Aluta continua
Mwigulu no miongoni mwa viongizi wanafiki sana. Mwigulu nae ni mafia kama alivyo bashite alishamsingizia lwakatale kwamba in muhaini na akashuhudia bunge kua angetoa ushahidi mpaka mbinguni lkn alishindwa lkn pia mwigulu alitakiwa ajiuzuli kwani amepwaya katika nafasi hiyo kulingana na matukio...
Sina haja ata ya kumaliza soma post yako ila kama wewe unakula kiulaini kama bashite utasemaje hali ngumu mtaani sisi wavuja jasho tanapambana bila mafanikio aisee.
Sio wasikufanye mjinga wewe in mjinga kulingana na maswali unayohoji pitia koments zote za watu uone kama wameoji upuuzi wako kama ukunahatika kupata elimu ya juu wewe kauka tu chuo kutembea na kufanya kazi mpaka asubuhi nikawaida tu sana. Uliza kwanza usijifanye mjuaji wahudumu Wa vifaa na hata...
Unafikiri tuwaamniaje sasa ninyi wenye division one mesahau wasiojilikana katika orodha yenu, ugumu Wa maisha kuongezeka madhalani taifa zima , kutekwa watu na kuuwawa lkn miujizs division 0 kuongoza jiji kubwa
Unity is power. Union is strength kwa pamoja mnaweza sio vizuri kukubali binadamu mwenzeni apotee kirahisi kiasi hicho andamaneni nasisi RAIA tutawaunga mkono
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.